• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUWASA kutekeleza miradi ya maji ya bilioni sita

Imewekwa kuanzia tarehe: September 14th, 2023

WAKALA wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa)wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma,imetiliana saini na wakandarasi mikataba minne ya ujenzi wa miradi ya maji yenye thamani ya Sh.bilioni 5,473,744,522.32.

Miradi hiyo inatarajiwa kuongeza upatikanaji wa huduma ya maji kutoka asilimia 70.2 hadi kufikia asilimia 85 kwa wananchi waishio vijijini ifikapo mwaka 2025

Meneja wa RUWASA wilaya ya Tunduru Maua Mgallah,ameitaja miradi hiyo ni mradi wa maji Misechela-Liwanga wenye thamani ya Sh.bilioni 3,020,150,910.00,mradi wa maji Tuwemacho wenye thamani ya Sh.bilioni 1,054,232,603.55 mradi wa maji Msinji utakaotekelezwa kwa Sh.bilioni 1,069,014,450.00 na mradi wa Hulia uliotengewa Sh. Sh.bilioni 1,206,605,519.28

Aidha alisema,RUWASA inatarajia kutekeleza miradi miwili ya Namwinyu-Namakunga wenye thamani ya Sh.milioni 450,000,000 na mradi wa Nakapanya-Namakambale kwa gharama ya Sh. 150,000,000 hivyo kufanya miradi itakayotekelezwa kwa mwaka 2023/2024 kufikia 9 kwa gharama ya Sh.bilioni  zaidi ya bilioni sita.

Alisema,kukamilika kwa miradi hiyo kutaongeza upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa watu 43,625 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 12.6 ya wakazi wa vijijini,hivyo kufikia asilimia 82.6. ya utoaji wa huduma ya maji.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro alisema,lengo la serikali ni kuhakikisha wananchi wanaoishi vijijini nao wanapata huduma ya maji safi na salama kwa asilimia 85 na kuwapunguzia kama siyo kumaliza kabisa changamoto ya kwenda umbali mrefukutafuta huduma ya maji.

Mtatiro,ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kutoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji katika vijiji mbalimbali wilayani humo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.