• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SAFARI za anga Songea kufungua fursa za uwekezaji na milango ya utalii

Imewekwa kuanzia tarehe: February 18th, 2021


SHIRIKA la Ndege la Tanzania ATCL limerejesha safari za usafiri wa anga mkoani Ruvuma baada  ya kukamilika ukarabati kiwanja cha ndege cha Ruhuwiko mjini Songea.

Serikali ilitoa zaidi ya shilingi bilioni 37 kukarabati kiwanja cha ndege Songea na kuwezesha ndege aina ya Bombardier Q400 kuanza tena safari zake za kuruka na kutua katika Kiwanja cha Ndege cha Songea kuanzia Februari 17 mwaka huu.

Akizungumza mara baada ya kushuka katika safari ya kwanza ya Bombadier kwenye uwanja wa Songea,Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea mjini Dkt.Damas Ndumbaro amesema kuanzishwa kwa safari ya anga mkoani Ruvuma ni utekelezaji wa Ilani ya CCM.

“Ibara ya 58 ya Ilani ya CCM imetamka kwamba  uwanja wa ndege wa Songea utajengwa,Ilani imetamka kwamba zitanunuliwa ndege 11 mpya,pia Ilani imetamka kuwa  ATCL itaongeza safari za ndege kutoka viwanja vinne mwaka 2015 hadi viwanja 13, mwaka 2021,Songea ni kiwanja cha 13,anasema Waziri Ndumbaro

Anasisitiza kuwa kiwanja cha Ndege Songea kitafungua anga la mkoa wa Ruvuma na kuruhusu wawekezaji na watalii kufika Ruvuma kujionea fursa mbalimbali za uwekezaji na utalii  hivyo kuchangia pato la taifa na kuinua uchumi wa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Pololet Mgema anampongeza Rais kwa kutoa fedha kiasi cha shilingi bilioni 37 ambazo zimekamilisha ujenzi na ukarabati wa kiwanja cha ndege cha Songea ambacho kimeanza kutumika rasmi kutua ndege kubwa.

Naye  Meneja Kiwanja cha Ndege Songea Jordan Mchami anasema safari za ndege za ATCL zimerejeshwa mkoani Ruvuma kwa kuanzia safari toka Dar es salaam hadi Songea zitakuwa siku ya Jumatano na Jumapili.

“Ndege itakuwa inaondoka Dar es salaam saa 1:00 asubuhi,itafika Songea saa  2:25 asubuhi,itaondoka Songea 2:50 asubuhi itafika Dar es salaam saa 4:10 asubuhi, kwa kuanzia nauli ni shilingi 252,000, kwenda na kurudi ni 372,000 natoa wito kwa wakazi wa Mkoa wa Ruvuma na mikoa jirani kutumia ndege hii’’,anasema Mchami.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Februari 18,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.