• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SEKONDARI 38 Mbinga zapewa sukari kilo 380

Imewekwa kuanzia tarehe: February 16th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga  Joseph Kashushura ametoa tuzo kwa shule za Sekondari zilizofanya vizuri katika Mtihani wa kidato cha nne na kidato cha pili mwaka 2024 pamoja na kukabidhi  kilo  380 za sukari kwa shule za Sekondari za Serikali 38 ikiwa ni motisha kwa walimu katika ujifunzaji na ufundishaji.


Makabidhiano hayo yamefanyika katika hafla ya utoaji wa tuzo za taaluma kwa shule za Sekondari  zilizofanya vizuri katika Mtihani wa Kidato cha pili na Kidato cha nne mwaka 2024.

Pamoja na tuzo hizo Mkurugenzi amewataka walimu hao kutimiza majuku yao ya ufundishaji ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata umahiri na weledi.

“ Tuzo hizi ni motisha katika kuboresha Elimu katika Halmashauri yetu sisi ambao hatujapata tujitahidi tupambane na wale ambao leo mmepata ongezeni spidi” Amesem

Kaimu Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Rashid Bundalah ameeleza kuwa jumla ya watahiniwa 3,522 ikiwa 1,368 wavulana na 2,154 wasichana  kutoka katika  shule 49  walifanya Mtihani wa Upimaji Kitaifa  Kidato cha pili  mwezi Novemba  2024.

Aidha watahiniwa wapatao 2,205  ikiwa 893  wavulana na 1,312 wasichana  kutoka katika  shule 46  walifanya Mtihani wa  Taifa  Kidato cha nne  mwezi Novemba  2024.

Ili kuinua  ufaulu na kuongeza ufanisi katika utendaji kazi  Bundalah amethibitisha kuendelea kufuatilia shughuli za ufundishaji na ujifunzaji na kuchukua hatua stahiki kwa walimu  wasiotimiza majukumu yao pamoja na kuwachukulia hatua  watu wanaosababisha  wanafunzi kukatisha maaasomo.

Kwa upande wake mwalimu Athanas Mbele  Mwenyekiti wa Umoja wa Wakuu wa Shule Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ameeleza tukio hilo ni deni  kwao katika kuhakikisha  wanainua ufaulu katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.