• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SEKRETARIETI Mkoa wa Ruvuma yakagua miradi ya bilioni 1.4 Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: May 22nd, 2023

Timu ya Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkoa wa Ruvuma, wamefanya ziara ya Kukagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga, ikiwemo ujenzi na ukamilishwaji wa vyumba vya maabara, sambamba na ujenzi wa zahanati kwa baadhi ya kata.

Wataalamu hao waliambatana na wataalamu kutoka Halmashauri hiyo wakitokea idara ya Elimu Sekondari, Afya, Mipango , Maendeleo ya Jamii pamoja na Manunuzi ambapo walitembelea Ujenzi na Umaliziaji wa Vyumba vya maabara katika Shule ya Sekondari kilimani kati ilioko kata ya kilimani, Shule ya Sekondari Luhuwiko pamoja na Shule ya Sekondari Lusonga.

Hata hivyo wataalamu hao waliweza kutembelea na kukagua Miradi ya Ujenzi wa zahanati Mahande katika kata Utili huku ujenzi huo ukitumia mapato ya ndani sambamba na nguvu za wananchi.

 Aidha walitembelea Ujenzi wa Kituo cha Afya kata ya Myangayanga  pamoja na Kituo cha Afya Mbangamao katika kata ya Mbangamao, huku ujenzi wa vituo hivyo ukipata fedha kutoka Serikali kuu.

Wataalam hao kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wameridhia namna ya utekelezaji wa miradi hiyo kwa namna ya ufanisi na ubora, sambamba na kutoa maelekezo katika baadhi  ya miradi kwa mapungufu waliyoyabaini huku wakiagiza kuyafanyia marekebisho kabla ya miradi hiyo kukamilika.

 Miradi iliyo tembelewa imeghalimu zaidi ya kiasi cha fedha Bilioni 1.4  kutoka Serikali kuu na zingine kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri  katika kukamilisha ujenzi na Ukamilishaji  wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika baadhi ya kata Halmshauri ya Mji wa Mbinga .

Wananchi  wameendelea kumpongeza Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan  kwa kuendelea kuleta fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Halmashauri ya Mji wa Mbinga katika Sekta ya Afya, Miundombinu ya Elimu, Maji na Barabara, kuwa imekuwa chachu kwao katika kuleta maendeleo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.