• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI imedhamiria kuboresha huduma za afya za mama na mtoto

Imewekwa kuanzia tarehe: October 4th, 2024

Na Gustaph Swai - Rs Ruvuma

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amebainisha kuwa Serikali imedhamiria kuboresha huduma za afya ya uzazi na Watoto Nchini kwa lengo la kupunguza na kumaliza tatizo la vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga vinavyoweza kuzuilika.

Ameyasema hayo alipoongoza Kikao cha makabidhiano na majadiliano ya mwendelezo wa mfumo wa usafirishaji wa dharura kwa akina mama wajawazito, waliojifungua na watoto wachanga(M-mama) kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

"Serikali ya awamu ya sita inayodhamira ya dhati ya kuboresha huduma za afya ya uzazi na Mtoto Nchini kwa lengo la kupunguza au kumaliza tatizo la vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto wachanga vinavyoweza kuzuilika"

Amesisitiza kutoa kipaumbele kwa Rufaa kwa wazazi na Watoto wachanga  na halmashauri kusimamia Mfumo wa M-mama kwa kuhakikisha Magari ya Wagonjwa yapo  tayari wakati wote na kuweka  uratibu mzuri kwa madereva ngazi ya jamii.

Amewaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha Halmashauri zimetenga bajeti zitakazowezesha shughuli za Rufaa kwa Mfumo wa M-mama kwa kila mwaka wa fedha.

Amewaagiza kuhakikisha vituo vyote vinavvyotoa huduma za Afya vinatumia mfumo wa M-mama ili taarifa za wanaopewa rufaa zifahamike na kuhakikisha wote wanaohusika kuratibu Mfumo wa M-mama wanatekeleza wajibu yao kwa weledi.

Sanjari na hayo Kanali Ahmed amesisitiza kujitahidi kudhibiti na kuwa makini na upotoshaji wowote unaofanywa ili malengo ya Serikali yasihujumiwe.

Kwa upande wake Muuguzi Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Hilda Ndambalilo amesema hadi sasa mfumo wa M-mama umewezesha kusafirisha jumla ya wagonjwa 1,938  kati yao akinamama wajawazito 1,664 na Watoto wachanga 274.

Naye Mratibu wa Mfumo wa M-mama Nyanda za Juu Kusini kutoka Pathfinder Magdalena Mwaikambo ameeleza kuwa Mfumo wa M-mama umeweza kupunguza ucheleweshwaji wa usafirishaji wa rufaa za kina mama na watoto wachanga wenye uhitaji.

M-mama ni mfumo wa usafirishaji wa dharura wa akinamama wajawazito, waliojifungua ndani ya siku 42, na watoto wachanga ndani ya siku 28.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.