• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI imetoa mabilioni kutekeleza miradi Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: March 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amesema Serikali imekuwa ikitoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika sekta ya  Elimu, Maji na afya katika mkoa wa Ruvuma.

Ameyasema hayo wakati akifungua kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea.

"Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo hasa katika sekta ya elmu, afya, maji, barabara, nishati, kilimo na miundombinu mingine ikiwemo bandari, ili malengo ya miradi hiyo yafikiwe ni muhimu sisi sote kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na kutoa huduma iliyokusudiwa kwa wananchi," alisema Kanali Ahmed.

Amebainisha kuwa mkoa umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa maduhuli na mapato ya ndani katika halmashauri ambapo kwa mwaka 2023/24 Mamlaka ya Mapato Mkoa imekusanya shilingi bilioni 20.33 sawa na asilimia 117 ya lengo la makusanyo ya bilioni 17.43.

Amesema kwa upande wa Halmashauri jumla ya shilingi bilioni 31.46 zimekusanywa ambayo ni sawa na asilimia 112.85 ya lengo la kukusanya bilioni 27.88 kwa mwaka, hivyo ameipongeza Mamlaka ya Mapato TRA Mkoa, viongozi na wataalam wote wa halmashauri wakiongozwa na wenyeviti wa halmashauri.

Ameongeza kuwa katika sekta ya kilimo Mkoa umeendelea kufanya vizuri Kwa msimu wa kilimo wa 2023/24 mkoa umezalisha tani milioni 1,955,763.76 za mazao ya chakula ukilinganisha na mahitaji halisi ya Mkoa ni tani 470,000 na kuwa na ziada ya tani milioni 1,485,763.76 ambazo huuzwa ndani na nje ya mkoa na kuwapatia wananchi kipato.

Kanali Ahmed ameeleza mkoa umeendelea kuimarika kiuchumi kutokana na kuimarika kwa miundombinu, shughuli za uzalishaji mali, biashara na uwekezaji katika shughuli za uchimbaji madini hasa makaa ya mawe, maboresho ya uwanja wa ndege wa Songea pamoja na biashara na mikoa na nchi jirani za Msumbuji na Malawi.

Amebainisha kuwa kutokana na kuimarika kwa shughuli za kiuchumi, pato la mkoa (GDP) limeongezeka kutoka shilingi trilioni 5.1 mwaka 2029 hadi kufikia trilioni 7.17 mwaka 2023 sawa na ongezeko la asilimia 40.4, pato la mtu kwa mwaka 2019 ni milioni 3.15 hadi kufikia  milioni 3.72 mwaka 2023 sawa na ongezeko la asilimia 17.8.

Kwa upande wa umeme mkoa umewezesha vijiji 541 kati ya vijiji 551 kuungwanishwa umeme sawa na asilimia 98.18 ya vijiji vyote, vitongoji 272 na migodi midogo ya uchimbaji madini inaunganishwa na umeme ili kuchochea maendeleo ya viwanda, kilimo na biashara ambapo Mhe. Rais Dkt. Samia ametoa bilioni 291 zilizowezesha utekelezaji wa miradi hiyo.

Katika sekta ya Elimu amesema miundombinu ya kujifunzia na kufundisha imeboreshwa kwa sehemu kubwa, kwa mwaka 2023/24 wanafunzi 27, 281 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza bila kuwepo kikwazo cha ukosefu wa vyumba vya madarasa na wanafunzi 41,662 sawa na asilimia 82.12 wameandikishwa kujiunga na darasa la awali  kati ya lengo la wanafunzi 46,707 sawa na asilimia 93.66.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MSIKIMBILIE hasara,serikali inakuja na bei ya neema kwa mahindi Julai

    May 31, 2025
  • WAKULIMA Namtumbo wachuma neema ya ufuta kwa teknlojia mpya ya mnada wa kidigitali

    May 31, 2025
  • RUSHWA yazidi kuporomoka na kukosa nafasi Ruvuma

    May 31, 2025
  • SERIKALI yatoa fidia ya bilioni 2.5 kupisha mradi wa umeme wa Grid Songea-Tunduru

    May 31, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.