• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI kujenga maghala 11ya kuhifadhia mazao Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: September 23rd, 2023

SERIKALI inatarajia kujenga maghala 11 ya kuhifadhia nafaka katika  Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani  Ruvuma.

Hayo yamesemwa na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama katika ziara ya kikazi katika Kata ya Magagura ambapo amesema Kati ya Maghala  ya chakula  28 yatakayojengwa Mkoani Ruvuma, Maghala 11 yatajengwa Halmashauri ya wilaya ya Songea,

Akitoa ufafanuzi kwa wandishi wa habari Mkandarasi wa jengo hilo Eng. Julius Nalitolela alisema “ hili ni ghala hapa Masangu, ni kati ya maghala kumi na moja yanayojengwa katika Halmashauri ya wilaya ya Songea,  pia kati ya maghala 28 yaliyopo Mkoa wa Ruvuma. Mradi huu unaghalimu kiasi cha shilingi Milioni mia tano ishirini ( 520,000,000.00) ni Mradi ambao utaweza kuhifadhi vyakula mbalimbali kiasi cha Tani elfu moja ( 1000) na litakua na ukubwa wa Squre meter mia tano sitini ( 560)  ambalo pia itakua na ofisi na vyoo kwa ajili watumishi.

Akikagua Ghala hilo Mhe. Jenista aliwataka viongozi na wasimamizi kuwapatia nafasi wazawa katika kazi ndogondogo za pale ili waweze kujipatia kipato,  pia akashauri hata kandarasi ndogo ndogo ziweze kupewa kwa wazawa ili kukuza uchumi wa kijiji cha  Masangu.

“ kwanza niwapongeze Halimashauri kwa kusimamia vema miradi ya serikali, nikupongeze Mkurugenzi Neema Maghembe na timu yako nzima, lakini nishauri pia vipaumbele vya ajira viwe kwa wazawa, ili waweze kujipatia kipato kutokana na vitu vinavyofanyika kwenye maeneo yao ikiwemo pia kupewa kandarasi ndogo ndogo wazawa wa hapa hapa kijijini. Natoa wito pia kwa wanakijiji kuwa walinzi wa mali za Serikali"

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.