• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yaanza ujenzi daraja Mto Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 15th, 2025

Wananchi wa vijiji vya Mkenda na Nakawale katika Halmashauri ya Songea Vijijini pamoja na wananchi wa kijiji cha Mitomoni, Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa kuanzisha mradi mkubwa wa ujenzi wa daraja la Mto Ruvuma lenye urefu wa mita 45 na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 8.8.

Msimamizi MKuu wa mradi huo kutoka TANROADS, Mhandisi Fedinandi Mdoe, amesema ujenzi wa daraja hilo tayari umeanza na unatarajiwa kukamilika ifikapo Septemba 3 mwaka huu, ambapo gharama ya mradi ni Shilingi bilioni 9.293.

Alibainisha kuwa utekelezaji wa mradi huo ulianza rasmi Novemba 7 mwaka jana.

Kwa upande wake, Mhandisi Blanka Mkundelinda, mkaguzi wa vifaa vya ujenzi katika mradi huo, amesema kuwa vifaa vingi vya ujenzi tayari vimepatikana, ambapo baadhi vimepelekwa kwenye maabara za Songea na Dar es Salaam kwa ajili ya vipimo, na vingine tayari vimefikishwa eneo la mradi lililoanza kujengwa.

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Salehe Juma, amesema mradi huo unatekelezwa na kampuni ya kizalendo ya Ovans kutoka Wilaya ya Mbinga, na kazi inaendelea vizuri.

Ametoa rai kwa wananchi wa maeneo husika kulinda miundombinu hiyo ili isihujumiwe baada ya kukamilika, kwani inajengwa kwa gharama kubwa.

Mradi huo umefadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia mfuko wa dharura, na wafadhili hao wanataka mradi ukamilike kwa wakati bila kuchelewa, kwani fedha zote za utekelezaji tayari zimeshatolewa

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.