• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yaimarisha mfumo wa haki

Imewekwa kuanzia tarehe: March 17th, 2025

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, amesema kumekuwa na malalamiko katika mfumo wa utoaji haki, ucheleweshwaji wa kesi, kutoridhishwa na maamuzi na malalamiko ya rushwa katika mahakama.

Amesema katika muundo wa Mahakama kuna Tume ya Utumishi wa Mahakama ambayo kazi yake ni kupokea malalamiko ya watumishi wa Mahakama pale ambapo wananchi wanaona hawajatendewa haki .

Amebainisha kuwa katika ngazi ya Mkoa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Mahakama ni Mkuu wa Mkoa na Wilaya ni Mkuu wa Wilaya, ambapo wananchi wanapaswa kutambua uwepo wa kamati hizo na kuwasilisha malalamiko yao pale wanapoona hawajatendewa haki ili yafanyiwe kazi.

Ameongeza kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameasisi kampeni ya Mama Samia Legal Aid  ambayo tayari ipo katika mikoa 22 nchini kuwahudumia wananchi wenye uhitaji, amesema kampeni hiyo inalenga kutoa Elimu ya Sheria kwa wananchi na utatuzi wa migogoro.

Mhe. Ndumbaro amesema Mheshimiwa Rais ameruhusu ajira za maafisa maendeleo ya jamii katika kila Halmashauri ambao wapo katika maeneo ya kazi na wanaendeleza huduma ya msaada wa kisheria, kusikiliza kero za wananchi na kuzipeleka kwa wataalam wa kisheria waliopo kwenye maeneo husika na kuifanya kampeni ya Mama Samia Legal Aid kuwa endelevu.

Ameongeza kuwa Mheshimiwa Rais kupitia muhimili wa Mahakama ameamua kuwajengea wananchi wa mkoa wa Ruvuma kituo jumuishi cha Mahakama katika kata ya Msamala Manispaa ya Songea, ambacho kitajumuisha Mahakama ya Mwanzo, Mahakama ya Wilaya, Mahakama ya Hakimu Mkazi, Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani hivyo kuwaondolea wananchi adha ya kusafiri hadi Iringa kuifuata Mahakama ya Rufani.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.