• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yaja na mkakati wa kukabiliana na MPOX

Imewekwa kuanzia tarehe: March 15th, 2025

Waziri wa Afya na Mbunge wa Songea Vijijini, Mheshimiwa Jenista Mhagama, amebainisha hatua madhubuti zinazochukuliwa na serikali ili kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa Mpox nchini.

Akizungumza katika kikao cha Ushauri cha Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea, Waziri Mhagama ameeleza kuwa serikali imeandaa kampeni maalum ya siku 54 za kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Mpox na jinsi ya kujikinga.

Amefafanua kuwa Mpox ni ugonjwa unaoambukizwa kwa kugusana moja kwa moja na mgonjwa, kukumbatiana, kubusiana, au kutumia vifaa vilivyotumiwa na mtu mwenye ugonjwa huo.

Amewasisitiza wananchi kuchukua tahadhari kwa kuzingatia usafi wa mwili na mazingira, pamoja na kufuata maelekezo ya wataalam wa afya huku serikali ikiendelea kuimarisha huduma za afya kwa kuhakikisha upatikanaji wa vifaa tiba na kuboresha huduma kwenye hospitali na vituo vya afya kote nchini.

Waziri Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa juhudi zake za kuimarisha sekta ya afya, ikiwemo ujenzi wa vituo vipya vya afya na upatikanaji wa dawa muhimu.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amesema ugonjwa wa Mpox ni hatari sana hivyo amewasisitiza wananchi kuchukua tahadhari kama wataalam wanavyoelekeza.

Mnamo mwezi Machi mwaka huu, tetesi za uwepo wa wagonjwa wenye dalili za Mpox zilipatikana mkoani Kagera, na kufikia Machi 9, 2025, serikali ilithibitisha rasmi uwepo wa wagonjwa wawili wa Mpox.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.