• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa bilioni 1.3 kuboresha miundombinu ya elimu Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: April 21st, 2024

SERIKALI imetoa shilingi bilioni 1.3 kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya elimu  katika shule za Sekondari zilizopo  Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga.

 Kaimu  Afisa Elimu Sekondari Halmashauri  ya Wilaya ya Mbinga Rashid Bundala amesema fedha hizo zimetolewa katika kipindi cha kuanzia mwaka 2023/2024.

Amebainisha kuwa kupitia fedha za  mapato ya ndani ya  Halmashauri  hiyo imetumia Shilingi  Milioni 184 kutekeleza ujenzi wa matundu 8 ya vyoo katika shule ya sekondari  Namswea, ujenzi wa matundu ya vyoo 12 katika shule ya Sekondari  Mkumbi  pamoja na ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika shule ya Sekondari Luhagara.

Bundala ameeleza kuwa Serikali kupitia mradi wa Secondary Education Quality Improvement Programme (SEQIP)  imetoa shilingi bilioni  1.1 kutekeleza  ujenzi wa shule mpya ya sekondari Kitumbalomo, ujenzi wa bweni shule ya sekondari Hagati,ukamilishaji  wa vyumba   Vitatu vya madarasa shule ya sekondari  Hilela, ukamilishaji  wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari  Kipapa  na ujenzi wa nyumba ya walimu  shule ya sekondari Mndeme.

Aidha amebainisha kuwa  Serikali  kupitia  mradi wa  Education perfomance for results ( EP4R) imetoa kiasi cha shilingi milioni 176 kutekeleza  ujenzi wa bweni moja na utengenezaji wa vitanda 40( double decker) katika shule ya Sekondari Ruanda  pamoja na ujenzi wa vyumba  viwili vya madarasa  katika shule ya Sekondari  Ruanda

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.