• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa milioni 720 kuanzisha shule mbili Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: November 19th, 2022

SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi milioni 720 kuanzisha shule mpya mbili katika Halmashauri ya wilaya ya Songea mkoani Ruvuma

Mkurugenzi wa Halmashari ya Wilaya ya Songea Neema Maghembe  amezitaja shule hizo kuwa ni shule ya sekondari Kizuka katika Kata ya Kizuka ambayo serikali imetoa shilingi milioni 470 kutekeleza mradi huo.

Ameyataja majengo ambayo yanajengwa katika sekondari hiyo kupitia fedha za serikali za SEQUIP kuwa ni vyumba vinne vya madarasa,jengo la utawala,maktaba, vyoo  na jengo la TEHAMA.

Amesema utekelezaji wa mradi huo hadi sasa umefikia asilimia 95 na kwamba shule inatarajia kuanza kuchukuwa wanafunzi kuanzia Januari 2023.

Mkurugenzi huyo pia ameitaja shule tarajiwa ya msingi  inayojengwa katika kitongoji cha Lizaboni Kata ya Muhukuru iliyopo kilometa 140 kutoka mjini Songea ambayo serikali imetoa shilingi milioni 250 kutekeleza mradi huo.

“Mradi huu unatekelezwa na fedha kutoka serikali kuu kiasi cha shilingi milioni 250 ambazo zinajenga jengo la utawala,vyumba tisa vya madarasa na samani zake na vyoo matundu 30’’,alisema Maghembe.

Hata hivyo amesema mradi upo katika hatua za awali za utekelezaji na kwamba mradi unatarajiwa kukamilika Desemba 30 mwaka huu ambapo Januari mwakani shule inatarajia kuanza kuchukua wanafunzi.

Akizungumza baada ya kukagua miradi hiyo Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Stephen Ndaki,ameipongeza Halmashauri hiyo kwa usimamizi unaofanywa kwenye miradi,hata hivyo ameagiza kuwa na mpango kazi wa kutembelea na kukagua miradi katika ngazi ya Halmashauri ili miradi iweze kutekelezwa kwa ubora na kwa wakati.

Ameagiza usimamizi unaofanywa kwenye miradi  uheshimu kanuni za utawala bora,uwazi na ushirikishwaji na kwamba Halmashauri zijitahidi kuzijengea uwezo Kamati za Ujenzi ili kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na tija.

Imeandikwa na Albano Midelo

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Mkoa wa Ruvuma

Novemba 19,2023

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.