• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa zaidi ya shilingi milioni 400 kuboresha sekta ya afya,elimu Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: April 10th, 2021

Awali akitoa semina kwa kamati hizo Afisa maendeleo ya jamii katika Halmashauri ya mji mbinga Bi Cecilia Mbata amewaamashisha wananchi kijitolea, kupokea,na kuthamini  miradi hiyo ili kuleta chachu kwa selikari kuendelea kuleta fedha kwaajili ya miradi ya maendeleo katika kata zao. 

Utololewaji wa semina elekezi kwa watendaji ,na kamati mbali mbali, za usimsmizi wa ujenzi na ukarabati  wa miradi  ya maendeleo, vyumba vya madarasa kwa shule za msingi, maabara kwa shule sekondari na Zahanati katika kata 12 za halmashauri ya mbinga mji. Umepata mwitikio mkubwa baaada ya wananchi kujitokeza na kuunda kamati hizo ili kushiriki na kuhakikisha miradi hiyo inakamilika  kwa wakati.

Hatahiyo Serikali kupitia halmashauri hiyo imetoa zaidi ya shilling milioni 442 ili kuakikisha miradi hiyo inakamilika kwa kwakati, ambapo milioni 150 kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati 3,na milioni 292 kwajili ukarabati wa  vyumba vya maabara 4 na vyumba vya madarasa 9 .  

Semina hiyo imetolewa kila kata kupitia baadhi ya wataalamu  wa idara mbalimbali, ikiwemo Maendeleo ya jamii, idara Fedha,Takukuru, Mipango,Ujenzi na kitengo cha Manunuzi. Awali wataalamu hao wamehainisha  katika utekelezaji wa miladihiyo , uundwaji wa kamatihizo za  ujenzi, wameweka bayana kuwa watendaji wenyeviti wa vijiji  na madiwani hawataruhusiwa kua miongoni mwa kamati hizo, hivyo kubaki kuwa wasimamizi na washauri katika utekelezaji wa miradi hiyo.  

Niutaratibu kwa muujibu wa kanuni ya 167 kanuni ya ununuzi wa uma ya Mwaka 2013. Force Account ni njia ya ununuzi inayo tumika kwenye ujenzi ambao utekelezwa na taasisi kwa kutumia wataalamu   na vifaa vyake au wataalamu wa ndani lenye lengo la kupunguza gharama za ujenzi na ukarabati na kufanya utekelezaji wa mradi kukamilika kawa wakati, pasipo kuathili utendaji wa kilasiku wa taasisi wakati ujenzi unaendelea .

Wataalamu katika semina hiyo wa wamesistiza kamati hizo kufuata maelekezo waliowapa, kulingana na majukumu ya kila kamati yalio hainishwa katika miongozo ya utekelezaji wa miradi hiyo. Aidha wameongeza kuwa  kila kamati katika kila kata  kutoa taarifa ya maendeleo ya miradi kila hatua inayofikiwa  katika mihutasari ya kila kikao, ikiwemo upokeaji na ukaguzi wa vifaa, manunuzi na katika kamati ya ujenzi maelekezo ya ujenzi hatua kwa hatua.

Aidha wameongeza kua utunzaji wa kumbukumbu zikiwemo nyaraka za manunuzi, zabuni, mikataba, hati ya kukamilisha kazi, mapokezi na nyaraka za malipo mbalimbali ni muhimu kuhifadhiwa, hii pia itasaidia kutathmini thamani ya fedha ya ukarabati na ujenzi halisi. (Value for Money)  

Kwa upande wake msimsmizi wa seminahiyo, Mkurugenzi katika Halmashauri hiyo  Bi: Grace Quintine amesema fedha zimetolewa na serikali ni kwajili ya kumalizia ujenzi na si vinginevyo hiyo kuwaomba wanakamati kuwaamasisha wanachi na kujitolea ili kukamilisha miradi hiyo kwa wakati.

Imeandikwa na Afisa Habari Mbinga Mji

Aprili 10,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.