• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yawapa mbinu mbadala Wakulima wa Tumbaku Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: March 31st, 2023

SERIKALI ya mkaoa Ruvuma imewataka Wakulima wa zao la tumbaku kutumia mifumo rasmi wa stakabadhi ghalani ili kuweza kuepukana na changamoto zinazojitokeza wakati wa mauzo wa zao hilo

Akizungumza katika kikao cha kawaida cha mwaka cha Wajumbe wa chama kikuu cha ushirika Songea-Namtumbo (SONAMCU) kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Jeremiah Sendoro, kilichofanyika  katika ukumbi wa Chandamali Manispaa ya Songea  machi 30,2023

Sendoro amesema Serikali ipo pamoja nao ili kuhakikisha ushirika unaimalika vile vile na  wanufaike kupitia umoja huo na kwa upande wa Serikali itaendelea kusimamia mifumo iliyopo ya stakabadhi gharani ikiwa pamoja na kuziondoa changamoto zinazo hikabiri mifumo

“Nawapongeza viongozi wa SONAMCU wakiongozwa na Bodi ya wadhamini kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuhakikisha chama chetu kinakuwa na wakulima wananafuaika kwenye mazoa ya tumbaku Soya pamoja na ufuta hii yote nakutokana na  huimarishwaji wa mfumo wa stakabadhi ya ghara” amesema Sendoro.

Hata hivyo ametoa wito kwa makampuni ambayo yanakuja kununua  tumbaku ameyaomba yakawe mabalozi kwa makampuni mengine ili nayo yaweze kuja mkoani Ruvuma katika uzalishaji na ununuzi wa mazao hayo

“Naomba sana tumbaku yetu muinunue vizuri ili Wakulima wetu waweze kunufaika na mwisho kabisa mtusaidie kufufua kiwanda chetu cha Tumbaku hapa Songea maana kimesimama kwa muda mrefu bila kufanya kazi” amesisitiza Sendoro

Naye Mkuu wa Wilaya wilaya ya Namtumbo Mhe, Ngollo Ng’waniduhu Malenya amesema Mkoa wa Ruvuma unarutuba ya kutosha na ndio mkoa pekee ambao unaweza kulima aina nne za tumbaku kwa msimu mmoja hivyo amewataka wakulima kuongeza uzalishaji zaidi ili kukuza vipato vyao

“Wataalamu wanasema heka moja uzalisha kilo 1000 lakini kwa masikitiko kilo 600 ndio zinaingia sokoni kwa maana tunapoteza kilo 400 hili nijukumu letu wote tukiungana tunaweza kuhakikisha kwamba tuaongeza uzalishaji zaidi wa zao hili la tumbaku” amesema Malenya.  

Kwa upande wake meneja wa SONAMCU Juma Mwanga, amemshukuru Rais Samia kwa kazi kubwa anayoifanya ya kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji hasa katika kilimo cha tumbaku katika uongozi wake wa miaka miwili madarakani wawekezaji wengi wamekuja na uzalishaji umeongezeka Zaidi

“Chama kikuu cha ushirika SONAMCU kinatarajia kuzalisha tani 8000 hii niongezeko kubwa la uzalishaji wa tumbaku kulinganisha na misimu minne iliyopita ambayo wakulima waliweza kuzalisha tani 1000 tu kutokana na juhudi za Serikali inapelekea Mkoa wetu kwenda kuzalisha zaidi msimu huu wa 22/23” amesema Juma.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.