Serikali kwa kushirikiana na wananchi wa halmashauri ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma wameanzisha shamba kubwa la miti lililopo Wino ambalo ni la tatu kwa ukubwa Tanzania .
Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mhe. Kapenjama Ndile, amesema shamba hilo linaonesha jinsi ambavyo Songea haipo nyuma katika utunzaji wa mazingira, na shamba hilo linaweza kubadilisha na kuchochea uchumi wa nchi.
Kwa upande Meneja wa shamba hilo, Groly Kasmir, amesema shamba hilo lina ukubwa wa heka 39,714, kati ya hizo heka 2,259 zipo Wino, 29,000 zipo Ifinga na 9,000 zipo Mkongotema.
Regional Commissioner Office
Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.
Simu: 0252602256
Simu ya Mkononi: 0252602256
Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.