• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SHILINGI bilioni 45 kwenda kwa wakulima wa korosho Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: September 18th, 2024

.WAKULIMA wa zao la korosho wa mikoa ya Mbeya,Njombe na Ruvuma wanaohudumiwa na Chama kikuu cha Ushirika wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma(Tamcu),wamevuka lengo la uzalishaji wa zao hilo katika msimu wa kilimo 2023/2024.

Ni baada ya kufanikiwa kuzalisha na kuuza jumla ya  tani elfu 26.066 sawa na kilo milioni 26,066,333 zenye thamani ya Sh.bilioni 45,531,514,557 sawa na ongezeko la tani 1,000 ikilinganisha na msimu uliopita ambapo walizalisha kiasi cha  tani 25,000.

Kaimu meneja wa Tamcu Marcelino Mrope amesema hayo jana,wakati akizungumza na wanachama wa chama cha msingi cha  Ushirika Ligunga(Ligunga Amcos) katika mnada wa nane na wa mwisho katika msimu wa kilimo 2023/2024.

Mrope alisema,hayo ni mafanikio makubwa kwa wakulima na Chama hicho katika uzalishaji wa korosho  ambapo amewapongeza wakulima kwa kazi nzuri waliyoifanya mashambani kwa mwaka 2023/2024.

Ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa pembejeo za kilimo bure kwa wakulima, hali iliyohamasisha wakulima wengi kurudi mashambani kwa ajili ya kufufua mashamba yao.

“kwa mfano katika msimu huu wa kilimo 2024/2025 tumepewa pembejeo zenye thamani ya Sh.bilioni 22.5 kitu ambacho hakijawahi kutokea tangu nchi ipate Uhuru,tunaamini pembejeo hizi zitakwenda kuongeza sana uzalishaji wa korosho katika wilaya yetu”alisema Mrope.

Amewashauri wakulima kutumia  vizuri fedha walizopata kununua pembejeo na kutumia mvua zilizoanza kunyesha kuanza maandalizi ya msimu mpya wa kilimo 2024/2025.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa TAMCU Mussa Manjaule alisema,bei ya korosho  katika msimu wa mwaka huu haikuwa nzuri ikilinganisha na msimu uliopita,hata hivyo amewataka wakulima kutokatishwa tamaa badala yake waendelee kulima zao hilo ambalo ni nguzo kuu ya uchumi wao na wilaya  ya Tunduru.

Manjaule,ametoa ushauri wake kwa wakulima kuanza kulima mazao mengine ya chakula na biashara ikiwemo zao maarufu la mbaazi ambalo lina soko la uhakika na bei kubwa  na halihitaji gharama kubwa katika uzalishaji wake.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.