• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SHULE imebakiwa na mwalimu mmoja baada ya wengine kufariki kwenye ajali Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: January 4th, 2025

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma kufanya msawazo wa walimu Kwa kupeleka walimu katika shule ya msingi lumaru Kata ya Upolo wilayani Nyasa, ikiwa imebakiwa na mwalimu mmoja baada ya walimu wanne kufariki Dunia Kwa Ajali ya gari iliyopinduka na kuwaka moto tarehe 28/12/2024 eneo la Burma wilaya ya Mbinga.

Ameyasema hayo wakati akiongoza mamia ya  Wananchi wa wilaya ya Mbinga na Nyasa katika uwanja wa CCM Mbinga, kutoa heshima zao za Mwisho Kwa Ndugu jamaa na marafiki kwenye miili 6 kufuatia Ajali ya gari iliyopinduka na kuwaka moto.

Kanali Ahmed amefafanua kuwa wiki lijalo shule zinafungua hivyo amemtaka Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma kufanya Msawazo na kupeleka walimu katika shule ya msingi lumaru ili itakapofungua shule Wanafunzi wakute Kuna walimu.

Ameliagiza Jeshi la polisi kutoa elimu Kwa waendeshaji vyombo vya moto na Wananchi ili kuzuia Ajali za barabarani, badala ya kuwavizia na tochi na kuwatoza faini.

"Naliagiza Jeshi la polisi litoe elimu ya madhara ya mwendokasi na matumizi sahihi ya vyombo vya moto na Barabara badala ya kuvizia na tochi na kuwapigia faini madereva wanaoendesha mwendo Kasi, Kwa kuwa hii peke yake haitoshi"

Ametoa salamu za pole Kwa Wananchi ndugu jamaa na marafiki na kuwataka kushirikiana wakati wote wa shida na Raha.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wilaya ya Nyasa Bw.Khalid Khalif amewashukuru Viongozi wote na Wananchi Kwa ujumla Kwa kumfariji kipindi hiki kigumu na kumpa ushirikiano.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.