Maadhimisho ya siku ya UKIMWI DUNIANI.
Tume ya kuthibiti UKIMWI Tanzania (TUCAIDS) inaratibu maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani, ambayo hufanyika kila mwaka Disemba Mosi.
Madhumuni ya maadhimisho haya ni kutathmini hali na mwelekeo wa udhibiti UKIMWI Kitaifa na Kimataifa. Aidha, siku hii hutumika kuhamasisha na kuelimisha Jamii juu ya namna ya kujikinga na maambukizi mapya ya VVu, matumizi sahihi ya ARV kwa watu wanaoishi na VVu pamoja na kupinga unyanyapaa na ubaguzi.
Regional Commissioner Office
Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.
Simu: 0252602256
Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174
Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.