• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SILINDE ampongea RC Ibuge kwa Viwango vya Madarasa ya Uviko 19

Imewekwa kuanzia tarehe: December 18th, 2021

MKOA wa Ruvuma umetisha kwa Utekelezaji wa Miradi ya Mpango wa  Maendeleo kwa ustawi wa Jamii (COVID -19) na kufikia asilimia 96.

Hayo amesema Naibu Waziri wa Tamisemi David Silinde mara baada ya kukagua miradi hiyo na kuangalia viwango vya ujenzi amesema Ruvuma ipo mbele akilinganisha na Mikoa mingine.

’’Sina cha kusema nampongeza Mkuu wa Nkoa,Ma DC,Wabunge pamoja na watumishi wote kwa kusimamia vizuri Miradi ambayo hata Rais Samia amehimiza,nina waahidi kuwaletea miradi mingine’’.

Silinde amesema mwaka 2022 wanafunzi watakaoanza kidato cha kwanza madarasa na madawati yanawasubilia,imekuwa tofauti na miaka mingine wanafunzi walikuwa wanasubilia madarasa yajengwe kupitia nguvu za wananchi ili waanze masomo.

Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Ruvuma Juma Fulluge amesema ujenzi wa Miradi ambayo ni asilimia 80 ya Madarasa  yaliyojengwa yatasaidia kuondoa changamoto ya Wanafunzi kukosa kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2022.

Fulluge amesema Mkoa wa Ruvuma ulikuwa na asilimia 20 ya Madarasa na Upungufu ulikuwa asilimia 80 ambapo Serikali imejenga Madarasa 448 kupitia Mpango wa Maendeleo wa Taifa  na mapambano dhidi ya Uviko 19.

Amesema mwaka 2021 walifanya mtihani 39,614 na wamefaulu 29, 314 sawa na asilimia 74 na kutarajia kujiunga kidato cha kwanza  kwa wakati kupitia Madarasa yaliyojengwa na kuondoa upungufu wa Vyumba vya Madarasa.

,,Mkoa umepokea fedha  za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi  wa Jamii kiasi cha Shilingi Bilioni kumi laki tatu ishirini elfu kwaajili ya Vyumba vya madarasa 448’’.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Mkoa wa Ruvuma

Desemba 17,2021 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI Mwenge wa uhuru ashiriki upandaji miti Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru waweka jiwe la msingi shule ya amali Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • MWENGE wa uhuru waingia Pers

    May 10, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.