• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SONGEA yatoa mshindi ufugaji bora samaki Nyanda za Juu Kusini

Imewekwa kuanzia tarehe: August 26th, 2020

Halmashauri ya wilaya ya songea mkoani Ruvuma imefanikiwa kutoa mshindi wa kwanza kimkoa na mshindi wa pili katika Kanda ya Nyanda za Juu katika ufugaji wa samaki.

Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa mshindi na Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt Tulia Aksoni katika maonesho ya nane nane yaliyo fanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya  hivi karibuni.

Afisa Mifugo wa Halmashauri ya wilaya ya songea Dkt Erick Kahise amemtaja aliyeshinda tuzo hiyo kuwa ni Aureliusi Njerekela kutoka kijiji cha Peramiho nje kidogo ya mji wa Songea.

Dkt Kahise amesema mfugaji huyo ameshinda tuzo hiyo baada ya kushindanishwa na wafugaji ndani ya Mkoa  na Mikoa ya Nyanda za juu kusini  na kuibuka kinara katika ufugaji wa samaki.

”Ufugaji wa samaki ni fursa inanyomwinuia kiuchumi mwananchi hivyo wananchi wanatakiwa kufanya ufugaji wa samaki ili kujikwamua kiuchumi”,alisema Dkt Kahise.

Kwa upande wake Bw Njelekela amesema yeye binafsi ana mapenzi makubwa ya ufugaji wa samaki na alianza kufuga samaki mwaka 2016 na amendelea kufuga hadi sasa akiwa na  mabwawa sita.

Amesema kupitia elimu ya ufugaji ambayo ameipata kutoka kwa wataalamu imemsaidia kuendelea kufuga kwa kisasa kwa kutumia mabwawa ya maturubai njia ambayo inatoa mazao mazuri ya samaki ukilinganisha na mabwawa ya matope ambayo wakati wa kuvua,samaki hukimbilia kwenye mapango hivyo husababisha hasara kwa wafugaji.

Dr.Kahise amesema Halmashauri ya Wilaya ya Songea haina changamoto za magonjwa ukilinganisha na mikoa mingine na kwamba maeneo mengi yana maji ya kutosha katika kipindi kizima cha mwaka hivyo kusababisha ufugaji wa samaki kuwa ni fursa kwa mtu yeyote anayependa kufuga.

Ametoa wito kwa wafugaji wa samaki kuanza kufuga kwa kuchimba mabwawa nchi kavu ,mabwawa ambayo hayana karaha katika utunzaji wa samaki.

Ametoa rai kwa wafugaji kuanza kufuga kambale ambao wanaoneka kuwa na bei ya wastani wa shilingi ya 8000 kwa kilo moja ambapo kambale mmoja anaweza kuwa na zaidi ya kilo tatu ukilinganisha na pelage wenye kilo ndogo.

Halmashauri ya wilaya ya songea inatarajia kuanzisha kituo cha uzalishaji wa vifaranga vya samaki katika eneo la Lundusi ambapo kila mwananchi atapata fursa ya kujifunza na kununua vifaranga vya samaki.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa habari –Songea DC.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.