• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma yaokoa fedha za Umma zaidi ya milioni 134

Imewekwa kuanzia tarehe: January 23rd, 2020

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imefanikiwa kuokoa fedha za umma zaidi ya shilingi 134 zilizokuwa zimefanyiwa ubadhirifu.

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yustina Chagaka akitoa taarifa ya utendaji kazi wa Taasisi hiyo kwa wanahabari mjini Songea katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2019,amesema fedha hizo zilifujwa kwenye vikundi vya ushirika kwa njia nyingine za rushwa.

Chagaka amesema kati ya fedha hizo,zaidi ya shilingi milioni 122 zimewekwa kwenye akaunti maalum ya serikali iliyopo Benki Kuu ya Tanzania(BOT)  na kwamba kati hizo zaidi ya shilingi milioni 118 ni marejesho ya iliyokuwa Benki ya wananchi wa Mbinga(MCB).

Kwa mujibu wa Mkuu huyo wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma,shilingi 1,908,000 ni marejesho ya fedha zilizokuwa  zimefujwa kupitia semina hewa iliyofanyika wilayani Namtumbo na shilingi 1,410,103.80 ni marejesho ya fedha za vipimo(Material Test) zilizofujwa kwenye mradi wa ujenzi wa barabara ya NMB-Makalavati kwenye wilaya ya Madaba.

Fedha zingine zilizookolewa amezitaja kuwa ni  ni kiasi cha zaidi ya milioni 12 walizorejesha wananchi kati ya fedha hizo kupitia vyama vya Ushirika-AMCOS,shilingi milioni 9.84,walalamikaji katika Kata ya Kagugu shilingi 145,000 na walalamikaji wilayani Songea shilingi 2,100,000.

“Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2019  TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imepokea jumla ya taarifa 86 kutoka kwa wananchi kupitia vyanzo mbalimbali,Idara zilizoongoza ni Ardhi malalamiko 16,TAMISEMI 10,Taasisi za fedha 9,Poilisi 7,Elimu 7,Vyama vya Ushirika 6 na Afya 4’’,alisema Chagaka.

Kulingana na Chagaka idadi ya kesi zilizofunguliwa katika kipindi hicho ni 12 ambazo washitakiwa wake wanatoka katika Idara za Elimu,Polisi,Maji,Mifugo,Uvuvi,Serikali ya kijiji na TAMISEMI na kwamba kesi mpya tano zilifunguliwa katika Mahakama mbalimbali mkoani Ruvuma.

TAKUKURU ni chombo kilichopewa dhamana kwa mujibu wa sheria na kuzuia na kupambana na Rushwa namba 11,2007 ya kuongoza vita dhidi ya rushwa na ufisadi nchini.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Januari 23,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.