• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAKUKURU Ruvuma ilivyojipanga kukomesha rushwa,yaokoa zaidi ya milioni 50

Imewekwa kuanzia tarehe: January 27th, 2021

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) ni chombo kilichopewa dhamana kwa mujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007.

Sheria hiyo inaongoza vita dhidi ya rushwa na ufisadi nchini ambapo TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imeendelea kutekeleza matakwa ya sheria kupitia majukumu matatu ambayo ni kuzuia rushwa,kuelimisha Umma,kuchunguza tuhuma za rushwa na kushitaki watuhumiwa wanaobainika kujihusisha na vitendo hivyo.

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Hamza Mwenda anatoa taarifa ya utendaji kazi wa Taasisi hiyo katika kipindi cha kuanzia Oktoba hadi Desemba 2020 ambapo anasema katika kipindi hicho TAKUKURU Ruvuma ilipokea taarifa 170 kutoka kwa wananchi kupitia vyombo mbalimbali.

Anazitaja taarifa hizo zilipatikana toka Idara mbalimbali,kati ya hizo,Idara ya Ardhi taarifa 29,Taasisi za Fedha 25,TAMISEMI 17,Mahakama 13,Elimu 10,,Biashara 10,Polisi 7,Vyama vya Siasa 7,Ujenzi 4,Bima 3 pamoja na taarifa nyingine toka TANESCO,PSSSF,Kampuni ya Ulinzi,Habari,Maliasili,Afya,Uhamiaji na vyama vya Ushirika.

“Katika kipindi hicho idadi ya kesi zilizoendelea mahakamani ni 11,ambazo washitakiwa wanatoka katika Halmashauri mbili,serikali za vijiji vinne,Idara ya Elimu watatu na Idara ya Afya washitakiwa wawili’’,anasema Mwenda.

Hata hivyo Mwenda anasema katika kipindi hicho,kesi tatu zilikamilika na kutolewa uamuzi na mahakama ambapo kati ya kesi hizo,kesi moja iliyokuwa inaendeshwa wilayani Nyasa,mshitakiwa alipatikana na hatia na alihukumiwa kulipa faini ya shilingi 500,000 na kesi mbili washitakiwa waliachiwa huru.

Mkuu wa TAKUKURU Ruvuma anasema katika kipindi cha miezi mitatu,Taasisi hiyo imeokoa fedha kiasi cha Zaidi ya shilingi milioni 50 kutokana na uchunguzi mbalimbali uliofanyika.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Januari 27,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.