• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAKUKURU yabaini dosari miradi 19 ya bilioni nne

Imewekwa kuanzia tarehe: November 17th, 2023

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Ruvuma imebaini mapungufu kwenye miradi 19 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4

Akitoa taarifa ya utendaji kazi wa Taasisi hiyo katika kipindi cha kuanzia  Julai hadi Septemba kwa wanahabari Naibu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Ruvuma Janeth Haule katika ukumbi wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma  Novemba 16, 2023.

Naibu Kamanda Haule amesema ufatiliaji umefanyika katika sekta ya elimu kwenye Wilaya ya Tunduru ujenzi wa madarasa, jengo la utawala na vyoo katika shule nne zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 911 pia na Wilaya ya Namtumbo ujenzi wa madarasa, jengo la Utawala na vyoo shule nne zenye kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 849.

Katika Wilaya ya Nyasa ujenzi wa madarasa, jengo la Utawala na vyoo shule nne vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 602 pia Wilaya Songea ujenzi wa madarasa, jengo la utawala vyoo na mabweni katika shule 7 zenye thamani ya zaidi bilioni 2.

Naibu kamanda Haule amesema TAKUKURU wamechukuahatua kwenye Baadhi ya miradi ambayo imeonekana na mapungufu uchunguzi unaendelea ukiwemo  ujenzi wa matundu ya vyoo 14 katika shule ya msingi Ngingama Wilaya ya Nyasawenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 33 unamapungufu ya fundi kulipwa fedha za uwekaji wa DPC na DPM na ujenzi wa mfumo wa uvunaji wa maji ya mvua una deni.

“TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma katika kipindi husika tumeendelea na jukumu la kuelimisha umma kwa kuyafikia makundi mbalimbali ya jamii lengo ni kuendelea kuwajengea uelewa wa madhara ya rushwa ili waweze kushiriki katika mapambano dhidi ya rushwa”, amesema Haule.

Katika taarifa yake kamanda Haule amebainisha mapungufukatika sekta ya fedha uchambuzi umejikita kwenye kodi ya zuio na ukataji wa risiti za EFD Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma, baadhi ya mapungufu yamebainika.

TAKUKURU Mkoa katika kipindi tajwa kwa upande wa uchunguzi wamepokea jumla ya malalamiko 38 yanayohusu ruswa 27 yasiyohusu ruswa 11. Malalamiko haya yanatoka katika sekta za ujenzi Fedha ,Ardhi, Nishati, Mahakama, Kazi, Madini Afya, Elimu na Halmashauri.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.