• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAMCU yapata viongozi wapya wa Bodi ,DC atoa maagizo mazito kwa viongozi

Imewekwa kuanzia tarehe: May 20th, 2024

Chama Kikuu cha Ushirika wa Masoko ya Mazao Tunduru (TAMCU LTD) kimefanya Mkutano Mkuu uliokwenda sanjari  na Uchaguzi wa kupata Bodi mpya ya Uongozi wa chama hicho.

Viongozi waliochaguliwa kwenye mkutano huo ni Pamoja na  Ndg. Mussa Athumani Manjaule  ambaye amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Bodi mpya ya TAMCU, Bodi ambayo inaundwa na wajumbe sita.

Mkutano huo ulifanyika mjini Tunduru na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, viongozi wa vyama vya ushirika, na wanachama wa TAMCU kutoka vyama vya Ushirika vya Msingi vyote vilivyopo wilayani humo.

 Mgeni rasmi kwenye mkutano huo alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe. Simon  Chacha.

 Akizungumza kwenye mkutano huo Chacha amewataka viongozi wapya wa TAMCU kusimamia kwa ufanisi mambo na mikakati waliyoahidi kwa wanachama wao.

Amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya viongozi na wanachama, na akawataka wanachama kuchagua viongozi waadilifu watakaowezesha ushirika kufikia maendeleo endelevu.

“Maendeleo ya Ushirika yanahitaji ushirikiano,uadilifu na uaminifu, hivi vyote vinatakiwa kuanza kutengenezwa na sisi viongozi wenyewe’’,alisema Chacha.

Mwenyekiti mpya akizungumza baada ya kuchaguliwa Ndg. Manjaule ameshukuru wanachama kwa kumwamini tena kuwa kiongozi wao,ambapo ameahidi kutekeleza mikakati yote ya TAMCU kwa lengo la kuimarisha ushirika na kuleta maendeleo kwa wanachama wake.

Mkutano huo pia umeshuhudia uzinduzi wa magari mawili mapya ya mizigo aina ya Scania yaliyonunuliwa na vyama vya ushirika vya msingi vya SAMA AMCOS na NGUVUMALI AMCOS kwa ushirikiano na benki ya CRDB.

 Magari hayo yananatarajiwa kurahisisha usafirishaji wa mazao ya wakulima kutoka vijijini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.