• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TANI 11 za Sukari zakamatwa Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: December 7th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amegawa Sukari tani 11 iliyokamatwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa makundi maalumu.

Akizungumza katika tukio hilo la ugawaji wa  Sukari hiyo amempongeza Meneja wa TRA Mkoa wa Ruvuma pamoja na timu yake kwa kazi nzuri yakuhakikisha biashara za magendo zinakamatwa.

’’Mmeendelea kuchapa kazi licha ya haya  Mapato Mkoa wa Ruvuma unafanya vizuri kipekee niwapongeze sana’’.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Ruvuma Amina Ndumbogani amesema mwaka jana wali fanikiwa  kukamata sukari iliyoagizwa nchini kwa njia ya magendo.

Amesema hii ni kutokana na doria za kila mara zinazofanywa na ofisi ya TRA Mkoani Ruvuma za kuzuia magendo zinazoendeshwa chini ya kitengo cha forodha na ushuru wa bidhaa.

‘’Kiasi cha mifuko 550 ambayo ni sawa na Tani 11 zikiwa zinaingizwa nchini mwetu kinyume cha sheria  na taratibu zetu za forodha’’.

 Hata hivyo Ndumbogani amesema ofisi ya Makao Makuu ya  Mamlaka ya Mapato imetoa ruksa ya kugawa sukari hiyo kwa Makundi Maalumu ikiwa chini ya Mkuu wa Mkoa.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato ametoa Wito kwa wafanyabiashara wote nchini kuacha kufanya biashara ya kuingiza bidhaa nchini bila kufuata sheria na taratibu za forodha na ushuru wa bidhaa ya mwaka 2004 na 2010 chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema katika tukio hilo amesema kunahitajika kuimarisha Doria katika mipaka ili kuhakikisha biashara za magendo zinakomeshwa.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Desemba 6,2021

                        

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.