• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TASAF yatoa milioni 395 kutekeleza miradi sita Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: October 27th, 2022

SERIKALI kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii nchini (TASAF), imetoa zaidi ya shilingi milioni 395 kutekeleza miradi 6 katika vijiji vya Parangu na Mdunduwalo  katika Halmashauri ya wilaya Songea.

Akizungumza kwenye mkutano huo mbele ya uongozi wa Halmashauri  pamoja na Wananchi Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea Pendo Ndumbaro, alisema kukamilika kwa miradi hiyo italeta tija kwao  kwani itawawezesha wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini na jamii kufanya biashara za uhakika  na  hivyo ni jukumu lao kushiriki hatua zote za ujenzi wa miradi hiyo

Alisema,kati ya Fedha  hizo, kijiji cha Parangu  kimepokea shilingi milioni 225 za ujenzi wa miradi mitatu ambapo ni standi, uwekaji wa vigaya pamoja na kujenga matundu manne ya vyoo na uzio.

Aidha,kijiji cha Mdunduwalo kimepokea shilingi milioni 170 za ujenzi wa miradi mitatu ujenzi wa nyumba ya madaktari wawili, matundu sita ya vyoo pamoja na uchimbaji wa kisima kirefu cha maji.

“Ni matumaini yangu miradi hii itakuza uchumi wa kaya pamoja na kuongezeka kwa kipato cha mtu mmoja mmoja pia kujengwa kwa miradi hii 6 katika vijiji vya Parangu na Mdunduwalo  itaongeza upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii”alisema  Daniel.

Hata hivyo, amewasisitiza viongozi wa vijiji pamoja na kamati za ujenzi wa miradi hiyo kushirikiana na wananchi katika kutekeleza ujenzi kwani asilimia 10 ya ujenzi itatolewa na wananchi katika kufanikisha kukamlikia kwa miradi yote


Kwa upande wake Mwenyekeiti wa Halmashauri hiyo Menasi Komba,amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kwa uamuzi wake wa kutoa fedha hizo za miradi ambazo zitatumika kujenga miradi hiyo  na kuwaomba wananchi wailinde mradi hiyo nakushiriki hatua zote za ujenzi

“Wale wote watakaobainika kuiba zivifaa vya ujenzi kwenye miradi hii hatua zitachukuliwa haraka, pia niwaombe wajumbe na wanakamati wa miradi wa vijiji vyote viwili msishawishike hizi fedha zimeletwa kwa malengo ya kukuza uchumu wa kaya zetu”alisema Komba.Akizungumza kwa niaba ya wanufaika wenzake Nicodemus Nyoni mkazi wa kijiji cha Parangu, amemshukuru Mbunge wa jimbo hilo Jenista  Mhagama kwa kuweza kupeleka fedha za miradi wa ujenzi wa stendi ambapo itakapokamilika itawasaidia kujipatia kipato na kuwa na uhakika wa kupata huduma mbalimbali.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.