• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TIRA yatoa elimu ya Bima kwa watumishi wa RS Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: August 12th, 2024

Na Gustaph Swai-RS Ruvuma

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imetoa elimu kuhusu masuala ya Bima kwa watumishi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa mjini Songea.

Mafunzo hayo ya Bima ni sehemu ya jitihada za TIRA katika kutekeleza Mpango wa Miaka Mitano wa Maendeleo ya Taifa na Mpango Mkuu wa Taifa wa Kuendeleza Sekta ya Fedha nchini.

Akizungumza wakati anatoa elimu ya Bima kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Kamishna wa Bima nchini, Dkt. Baghayo Saqware amesema waamedhamiria kuhakikisha elimu ya bima inawafikia wananchi wengi wa Mkoa wa Ruvuma.

Dkt.Saqware, ameomba ushirikiano kutoka kwa ofisi ya Mkuu wa Mkoa ili kuhakikisha elimu ya bima inawafikia wananchi wa Ruvuma na kuwajengea uelewa wa kutumia bima kama kinga mahsusi kwa maisha, afya, na mali zao.

"Tunaomba ushirikiano na ofisi yako ili kuhakikisha elimu ya bima inawafikia wananchi wa Mkoa wako kwa lengo la kujenga uelewa wao wa bima ili wabaini manufaa ya kutumia bima kama kinga mahsusi kwa maisha, afya, na mali zao," amesisitiza.

Amemuomba Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kuwa balozi wa TIRA katika utoaji wa elimu ya bima kwa wananchi na kuwahamasisha kutumia bidhaa na huduma za bima hususan bima za afya na kilimo.

Amebainisha kuwa sekta ya bima ina ongezeko la zaidi ya asilimia 10 kwa kila mwaka  kwa watoa huduma za bima sambamba na kufanikiwa kuhakikisha  ulipaji wa madai ya Bima kwa wakati kwa asilimia 95 na kuongeza idadi ya watumiaji wa huduma za bima kwa  asilimia 20 hadi kufikia mwaka 2023.

Mamlaka ya usimamizi wa Bima (TIRA) imepewa jukumu la kuratibu mambo yote ya kisera yanayohusu bima ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusimamia shughuli zote za Bima Tanzania Bara na Zanzibar.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.