• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TUNDURU ilivyodhamiria kuboresha lishe

Imewekwa kuanzia tarehe: February 6th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma inaendelea kupiga hatua kubwa katika utekelezaji wa afua za lishe, kama ilivyobainishwa katika kikao cha kawaida cha kamati ya lishe wilaya kwa robo ya pili (Oktoba-Disemba)

Kikao hicho kilionesha mafanikio makubwa katika utekelezaji wa mikakati mbalimbali inayolenga kuboresha lishe na afya ya wananchi.

Miongoni mwa mikakati inayotekelezwa ni Mpango Mkakati wa Lishe na Afya Shuleni, ambapo shule zote za msingi na sekondari zinazomilikiwa na serikali  kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula shuleni.

Mikakati mingine ni Kwa shule za kutwa, wazazi wanahamasishwa kuchangia kupitia kamati zao ili kufanikisha mpango huu.

Pia, elimu inaendelea kutolewa kwa shule za msingi na sekondari kuhusu lishe bora. Wanufaika wa Mradi wa TASAF wenye watoto chini ya miaka mitano wanahamasishwa kuwapeleka watoto kliniki kwa ajili ya ufuatiliaji wa afya zao.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, Ndg. Bosco Mwingira, alisisitiza umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ulaji unaofaa na mtindo bora wa maisha ili kuzuia magonjwa sugu yasiyoambukiza.

Mwingira amesema halmashauri inahamasisha kilimo cha mbogamboga na matunda ili kuongeza upatikanaji wa vyakula vyenye virutubisho.

Ameshauri kufanyika ufugaji wa samaki bora, ambapo visima viwili vya samaki vimechimbwa katika kijiji cha Kidugalo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.