• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TUNDURU yakusanya ufuta tani 2300 kupitia TAMCU

Imewekwa kuanzia tarehe: July 17th, 2022

Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imefanikiwa kukusanya ufuta zaidi ya tani 2300 kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.

Hayo yamesemwa na Meneja wa Ghala la Chama Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMCU) Sarah Chirwo wakati anatoa taarifa ya ununuzi wa ufuta kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani kwa Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa stakabadhi ghalani nchini Asangye Bangu mjini Tunduru.

Amesema tani zilizonunuliw ni hadi kufikia Julai 16 mwaka huu na kwamba ukusanyaji wa ufuta bado unaendelea kwa kasi kubwa ambapo wakulima wanafurahia mfumo huo kwa sababu wanauza mazao yao kwa bei nzuri.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Tunduru Musa Manjaule amesema wakulima wa Tunduru wameelewa faida za mfumo wa stakabadhi ghalani ambao umemaliza kero ya muda mrefu ya kuibiwa kupitia mfumo holela wa kununua mazao.

“Sisi Tunduru ukituambia stakabadhi tuitoe hatuwezi kukuelewa,kwa sababu tunajua ubaya wa Mfumo holela wa kununua mazao”,alisema Musa.


Kwa upande wake Mkulima Rajabu Mohamed Mkazi wa Ligunga Tunduru amesema licha ya kujitokeza wakati fulani changamoto ya kuchelewa malipo,bado mfumo wa stakabadhi ghalani una faida nyingi kuliko hasara.

Akizungumza baada ya kusikiliza kero za wakulima Wilaya Tunduru,Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa stakabadhi ghalani nchini Asangye Bangu ameahidi kushughulikia changamoto hizo ikiwemo ya kuchelewa kwa malipo na pembejeo za kilimo.

Katika ziara hiyo Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa stakabadhi ghalani ameongozana na Mwakilishi wa Mkurugenzi wa  Bodi ya Korosho Tanzania,Mrajis wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Ruvuma,Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Mtendaji Mkuu toka Wakala wa Vipimo na Mwakilishi wa Kituo cha Utafiti wa Mazao TARI.

Mkurugenzi huyo anatembelea Wilaya zote ambazo zinanunua mazao kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani kwa lengo la kusikiliza kero mbalimbali  zinazowakabili wakulima na kuzitafutia ufumbuzi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.