• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TUULINDE muungano wetu ni tunu yetu-DC Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: April 26th, 2025

Katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma alfajiri ya Aprili 26, wananchi wa Songea, wakiwa wamebeba bendera za Taifa, walikusanyika kwa shangwe kuadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tukio liliojaa heshima, uzalendo na mshikamano.

Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mhe. Kapenjama Ndile, aliongoza maadhimisho hayo yaliyopambwa na maandamano ya amani, upandaji miti, na usafi wa mazingira  ishara za kudumisha maisha yenye umoja na maendeleo.

Akihutubia umati huo uliokusanyika, Mhe. Ndile alisisitiza dhamira ya Muungano wa Tanzania si zawadi ya bahati, bali ni jitihada za kizalendo za viongozi wetu. Leo hii tunawajibika kulinda tunu hii kwa mshikamano, heshima na kuhimiza amani miongoni mwetu.”

Katika hafla hiyo, alitoa wito maalum kwa watumishi wa umma na wananchi kuwa nguzo za amani, akisisitiza kuwa kila kauli na kila kitendo kinapaswa kuijenga Tanzania moja, yenye mshikamano thabiti.

Simulizi ya historia ya Muungano ilipewa uzito zaidi na Mwenyekiti wa Wazee Wilaya ya Songea, Sofia Namananda, ambaye alikumbusha kwa hisia juhudi za waasisi wa Muungano, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Hayati Abeid Amani Karume.

“Muungano Wetu ni Dhamana, Heshima na Tunu ya Taifa — Shiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.”

Kwa Songea na Tanzania nzima, Aprili 26 si tu kumbukumbu ya siku za kale; ni ahadi ya kuendeleza mshikamano, kuilinda dhamira ya waasisi, na kujenga kesho yenye amani zaidi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.