• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UANDIKISHAJI daftari la mpigakura wafikia asilimia 45,Ruvuma ipo vizuri

Imewekwa kuanzia tarehe: October 15th, 2024

 Kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu zoezi la uandikishaji daftari la wakazi lafikia asilimia 45 ikiwa ni siku nne tangu kuanza kwa zoezi hilo nchini.

Hayo yamebainishwa l na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

“Nawapongeza watanzania waliojitokeza kujiandikisha tangu kuanza kwa zoezi hili Octoba 11 kwani hatua hii ni muitikio mzuri wa watanzania kutambua haki yao ya kikatiba ya kujiandikisha kwaajili ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa”, amesema Mh.Mchengerwa

Aidha, ametumia fursa hiyo kuwahimiza watanzania wote wenye sifa za kupiga kura kuendelea kujitokeza kujiandikisha kwani zoezi hilo litakamilika Octoba 20, 2024.

Ameeleza kuwa katika zoezi hilo la uandikishaji baadhi ya Mikoa inaendelea kufanya vizuri ikiwemo Tanga,Ruvuma,Njombe,Songwe na Iringa.

“Kuna mikoa ipo chini ya wastani unaokusudiwa ikiwemo Katavi, Kilimanjaro,Geita,Kigoma na Manyara, pia ipo mikoa yenye watu wengi lakini uandikishaji bado uko chini ya asilimia 40 ambayo ni Dar es salaam iko kwenye asilimia 35.3,Mwanza ina asilimia 34.2,Morogoro iko kwenye asilimia 37.9,Dodoma asilimia 38.5,Tabora asilimia 27.7 pamoja na Kagera asilimia 34.8”, amesema Mh.Mchengerwa

Mwisho amewasihi Wakuu wa Mikoa na viongozi wa Halmshauri kuendelea kuwahimiza watanzania kujitokeza kwaajili ya kujiandikisha kwenye daftari la makazi litakalotumika katika uchaguzi wa Serikali za mitaa

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.