• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UKWELI kuhusu madai ya mgonjwa kutozwa shilingi laki mbili Hospitali Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: December 30th, 2024


Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songea inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa za upotoshaji zilizosambazwa kupitia mitandao ya kijamii hivi karibuni kuwa mgonjwa alilitozwa Shilingi Laki Mbili (200,000/-) ikiwa ni gharama ya usafiri wa ambulance kupelekwa Hospitali ya Mt. Joseph Peramiho.


Kulingana na Sera ya Afya ya Serikali, hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songea haitozi malipo kwa wagonjwa wanaopelekwa Hospitali ya Mt. Joseph Peramiho kwa rufaa, ingawa kwa wagonjwa wanoomba wenyewe kuhamia hospitali ya Mt. Joseph Peramiho familia hulazimika kuchangia Shilingi 21,000 ikiwa ni gharama ya mafuta ya ambulance.

Kuhusu wagonjwa wanaopelekwa Muhimbili au hospitali za kanda kwa rufaa, hulazimika kuchangia mafuta ya ambulance pekee kulingana na umbali. Aidha hospitali huwajibika kulipa posho kwa dereva na muuguzi wanaomsindikiza mgonjwa.

Hospitali inapenda kuufahamisha umma kuwa  hakuna mgonjwa aliyepokelewa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songea na kupewa rufaa ya kwenda Hospitali ya Mt. Joseph Peramiho kwa ambulance.

Sera ya Afya ya Serikali (2007) inasisitiza utoaji wa huduma za afya kwa usawa, bila ubaguzi, na kwa misingi ya haki. Huduma za matibabu maalum zinazohitaji rufaa zinapaswa kutolewa kwa utaratibu unaohusisha michango kidogo ya mafuta kwa familia, lakini malipo ya ziada ni kinyume na sera hiyo.

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Songea inatoa huduma kwa kufuata utaratibu wa Sera ya Afya ya Serikali. Tunatoa wito kwa wananchi kuwa waangalifu na kuepuka kueneza taarifa zisizo sahihi kuhusu huduma za afya za umma.

 

Imetolewa na:


Dkt. Magafu Majura
MGANGA MFAWIDHI
HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA SONGEA

Kwa maelezo zaidi piga  namba yetu ya huduma kwa wateja simu  0737683544

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.