• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UNYAYO ulioacha alama ya historia Litembo,kumbukizi ya mashujaa 800

Imewekwa kuanzia tarehe: July 13th, 2025

 

Katika kijiji cha Litembo wilayani Mbinga, Mkoa wa Ruvuma, kuna kivutio cha kipekee kisicho na mfano – masalio ya unyayo wa mguu wa kulia wa binadamu ulioachwa juu ya jiwe mnamo mwaka 1902, muda mfupi baada ya mauaji ya kikatili ya zaidi ya mashujaa 800 wa kabila la Wamatengo waliopigwa risasi na wajerumani kwa bunduki 19, wakipinga ukoloni kwa ujasiri wa hali ya juu.

Mashuhuda wanasema mtu huyo alikanyaga kwa nguvu baada ya kuona damu nyingi ya mashujaa ikitiririka kama mto kwenye kijito cha Mapipi. 

Kwa zaidi ya miaka 100, maji ya mto huo hayakutumika na jamii, kutokana na hofu na heshima kwa damu ya mashujaa walioimwaga kwa ajili ya uhuru wetu.

 Ili kuihifadhi historia hii na kumuenzi kila mmoja wa mashujaa hao, wananchi wa Litembo wanaiomba Serikali kujenga Makumbusho ya Kisasa kwenye jengo la kihistoria la chifu lililojengwa na wakoloni mwaka 1933 katika kijiji cha Litembo – jengo ambalo limekuwa kitovu cha kumbukumbu ya ukombozi wa Wamatengo na urithi wa kishujaa wa Taifa.

Tukumbuke, tusimame, tuenzi historia yetu – kwa heshima ya mashujaa wa Litembo, kwa ajili ya vizazi vijavyo. 


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MATOGORO mlima wa maajabu unaobeba chanzo cha Mto Ruvuma na siri nzito ya vita ya Majimaji

    July 13, 2025
  • JIWE LA BWANA kivutio kinachoongoza kuvutia watalii wa picha Tunduru

    July 13, 2025
  • RUVUMA yafanya maajabu kitaifa katika sekta ya elimu

    July 13, 2025
  • MLIMA Chingoli wa Tunduru wafichua siri ya udongo wa dhahabu kivutio cha uwekezaji kwenye kilimo

    July 13, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.