• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UONGOZI wa Mkoa wa Ruvuma wapongezwa kwa kutatua kero za wafanyabiashara

Imewekwa kuanzia tarehe: June 28th, 2022

MWENYEKITI wa Jumuiya ya wafanyabiashara Taifa Khamis Livembe Abdallah ameongoza Mkutano wa wadau wa Biashara  Mkoa wa Ruvuma na kujadili changamoto mbalimbali.

Akizungumza katika Mkutano huo uliojumuisha wadau  kutoka mikoa ya Njombe,Iringi pamoja na Ruvuma katika ukumbi wa Familia takatifu Bombambili Manispaa ya Songea amesema  Mkoa wa Ruvuma  Changamoto zimeshughulikiwa ukitofautisha na Mikoa Mingine.

“Niipongeze Serikari ya Mkoa kwa kutatua changamoto za wafanyabiashara na mengi yametatuliwa,ikiwemo TRA ya Mkoa wa Ruvuma ni Mfano ya Mikoa Mingine “.

Abdallah amesema hoja nyingi ambazo wafanyabiashara wamezitaja ni za kisera ambazo kama mamlaka hawahusiki ikiwemo kodi ya zuio.

Naibu Katibu Mkuu wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Dkt.Hashil t.Abdallah katika mkutano huo amempongeza Mwenyekiti wa  jumuiya ya wafanyabiashara Taifa kwa kazi kubwa ya kuiongoza Jumuiya hiyo na uongozi thabiti na mahusiano katika Serikali yameimalika.

Abdallah amesema Wizara na Serikali kwa ujumla lazima waweke mazingira wezeshi ili mfanyabiashara afurahie kazi yake na Serikali imlee na kumwezesha Mfanyabiashara na Serikali iweze kukusanya kodi na watu wajipatie ajira.

“Tumeshudia mara kadhaa migongano katika Jumuiya Mbalimbali lakini Jumuiya ya Wafanyabiashara imekuwa ya Mfano inawaunganisha na kuwa na sauti moja juu ya yale yanayowatatiza”.

 Abdallah amesema wafanyabiashara maamuzi ya kukaa pamoja na kutafakari kwa pamoja baina ya wafanyabiashara na viongozi wa Mkoa ni jambo jema ambalo linapelekea kuleta maendeleo katika Taifa la Tanzania.

“Tupo hapa kumwakilisha Mama Yetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia ametuagiza tusiondoke na kero  lazima tumalize hapa hapa “.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Juni 28,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.