• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

Upandaji miti unaendelea kila kona Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: January 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amezindua kampeni ya upandaji wa miti katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea ambayo imefanyika katika shamba la kampuni ya Aviv Tanzania Limited inayojishushulisha na kilimo cha kahawa mkoani Ruvuma.

Kampeni hiyo iliyoandaliwa na kampuni ya Aviv kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kutunza mazingira imezinduliwa kwa kupanda miti pembezoni mwa milima ya Litenga  katika shamba la kahawa la Aviv lililopo Lipokela Wilayani Songea mkoani Ruvuma.

Kabla ya uzinduzi huo Kanali Ahmed, amewasisitiza wananchi kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti na kuitunza ili iweze kukua na kuona matokeo ya upandaji huo, pia ameipongeza Aviv Tanzania Limited kwa kuzingatia sheria za nchi na kimataifa kwa kupanda miti.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Mary Makondo, amesema wataendelea kushirikiana ili zoezi hilo liwe endelevu kwa kuhimizana kupanda miti mingi na kuitunza ili kuhakikisha mazingira yanaendelea kuboreshwa na isaidie kuleta mvua nyingi zaidi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mhe. Kapenjama Ndile, amebainisha kuwa Aviv imetoa miche laki moja kwaajili ya kupanda katika mashamba ya kahawa, pia amewasisitiza wakulima wa kahawa kutokata miti ya asili ili kupanda kahawa badala yake wanatakiwa kupanda miti mingine ili kutunza mazingira na kupata soko la zao hilo kutokana na sera za kimataifa.

Kwa upande mwingine Meneja wa Aviv Tanzania Limited, Hamza Kassim, amesema Aviv ipo pamoja na Serikali na sera ya Umoja wa Mtaifa katika kuhakikisha suala la mazingira linakuwa namba moja kwa kuwaelimisha wananchi maana ya uhifadhi wa mazingira ili nchi isigeuke jangwa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.