• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UPIMAJI wa Afya ya Udondo utaongeza uzalishaji Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: January 27th, 2022

MAAFISA Ugani 10 wa Mkoa wa Ruvuma wamepatiwa mafunzo ya Upimaji wa Afya ya Udongo.

Mafunzo hayo yametolewa na Wataalam kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.

Mkuu wa Mafunzo kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania Frenk Mabagala katika mafunzo hayo amesema mambo yanayosababisha afya ya udongo kupungua ikiwemo kulima kwa mda mrefu bila kutumia mbolea,Kutumia Mbolea bila kupima afya ya udongo,Mmomonyoko wa wa udongo pamoja na kilimo cha kuchoma Moto.

Mabagala ameeleza umuhimu wa kupima udongo katika mafunzo hayo ikiwemo matumizi sahihi ya Mbolea,Udongo uliokufa huzalisha bila kuleta tija kwa mkulima.

“Ili kurudisha uhai au afya ya udongo mkulima anahitaji kuongeza virutubisho mbalimbali muhimu kwa mmea pampja na kiasi cha virutubisho vinavyohitajika katika udongo wa shamba lake”.

Hata hivyo Mabagala ameelezea kuwa afya ya udongo kupimwa katika maabara zilizojengwa (TARI MLINGANO),Ukiriguru,Selian,Uyole,SUA,Kipimo cha haraka rapitest kit ,maabara za Mkononi na maabara zinazotembezwa kwa gari.

Kwa upande wake Mtafiti George Kingumbi amesema upungufu wa potassium katika udongo huondoa virutubisho vinavyotembea katika mimea viashiria kuanza kuonekana katika majani ya chini kukauka kwenye kingo za jani.

Kingumbi amesema chachu ya udongo (Soil PH) huathiri upatikanaji wa wa Virutubisho kwa kubadirisha muundo kirutubisho kwenye udongo,kuboresha chachu ya udongo kwa kiwango kinachopendekezwa kunaweza kuongeza upatikanaji wa virutubisho muhimu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.

Januari 27,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.