• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

USIMAMIZI madhubuti vyanzo vya mapato,kuongeza kasi ujenzi miradi Nyasa

Imewekwa kuanzia tarehe: April 16th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mh. Stewart Nombo, amewataka wananchi na viongozi katika Vijiji na Kata kusimamia ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri, ili fedha hizo ziweze kusaidia katika ukamilishaji wa miradi ya maendeleo.

Ameyasema hayo jana, wakati akiongea na wananchi katika ziara ya Siku moja iliyofanyika, Tarafa ya Mpepo katika Kata za Mpepo, Liparamba,Tingi Lumeme na Kingerikiti , Akiwa na Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi, wakati Akitembelea na akikagua Miradi Mbalimbali ya Maendeleo.

Mh. Nombo amefafanua kuwa, Halmashauri  kwa sasa tunatakiwa kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato, ili tuweze kujitegemea kwa kuwa na mapato yatakayoweza kusaidia ukamilishaji wa miradi mbali mbali inayoibuliwa na kutekelezwa na wananchi. Tukitaka kufanikiwa katika ukusanyaji wa Mapato, lazima tushirikiane kati ya Wananchi, Viongozi na Wataalamu kwa Ujumla kwa kuwa wakusanyaji wa mapato wanakusanya katika Ngazi za Vijiji.

Amewataka Watendaji wa Vijiji na Kata kusimamia Ukusanyaji wa Mapato, kwa kuziba mianya inayosababisha kupotea mapato katika Vituo (mageiti) ya Ukusanyaji mapato na Kutoa Taarifa kwa wakusanyaji wasio waaminifu, ili mapato yatakayopatikana yatumike kukamilisha miundombinu  ya miradi mbalimbali itakayowanufaisha wananchi katika Maeneo yao.

“Nichukue fursa hii kuwakumbusha wananchi na viongozi kuwa kila mtu kwa nafasi yake ahakikishe anasimamia ukusanyaji wa mapato na kuwasimamia wakusanyaji mapato, haturuhusu kuwapo kwa upotevu wa mapato kwa maslahi yao binafsi hivyo maafisa watendaji wa vijiji  na kata wahakikishe watoza ushuru wanafanya kazi kwa uaminifu, ili fedha zote tuzipeleke kwenye miradi ya Maendeleo”

Aidha amewapongeza wananchi wa Tarafa ya Mpepo kwa kushiriki kikamilifu kuchangia Miradi ya Maendeleo, na kuwa eleza kuwa katika kipindi cha uongozi wake atahakikisha fedha zote za Miradi ya Maendeleo zinatumika vizuri na wananchi wote wajitoe kuchangia maendeleo.

Kamati ya fedha na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa imetembelea jumla ya  miradi 12 yenye thamani ya TZS. 607,975,644.91 ya Afya na Elimu ,na kuridhishwa na mwenendo ya miradi hiyo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.