• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

VIJANA sita tu kati ya 240 ndiyo wameripoti chuoni Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: August 3rd, 2024

VIJANA sita tu kati ya 240 walioteuliwa na Serikali kupitia Halmashauri ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma mwaka 2024 kwenda kujiunga na chuo cha Ufundi Nazareth kilichopo Mbesa wilayani humo  ndiyo walioripoti hadi kufikia  Julai 31 mwaka huu.
Vijana walioteuliwa kwa mwaka wa masomo uliopita 2023 katika Chuo hicho walikuwa 114, lakini wanaoendelea hadi sasa na mafunzo ya ufundi ni vijana 8 tu huku wengine 106 hawajulikana walipo.
Serikali kupitia Halmashauri ya wilaya Tunduru iliteua wanafunzi waliohitimu darasa la saba na kidato cha nne mwaka 2023 na 2024 ili kujiunga kwenye mafunzo ya ufundi ili waweze kupata ujuzi katika fani mbalimbali zitakazo wawezesha kupata ujuzi ambao utawasaidia katika maisha yao.


Hayo yamesemwa na Mkuu wa chuo hicho Ezekiel Mapunda,wakati akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kumalizika kwa Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 50 ya chuo cha Nazareth Mbesa kinachomilikiwa na Wamisionari wa Kanisa la Bibilia Duniani.

Mapunda amesema,chuo cha Ufundi Nazareth Mbesa kilianzishwa kwa lengo la kuwapa vijana wa Kitanzania elimu ya ufundi ili waweze kujitegemea katika maisha yao na kwamba wakati chuo kinaanzishwa mwaka 1974 walianza na fani ya Useremala na ilipofika mwaka 1976 waliongeza fani ya magari na mwaka 1994 walianzisha fani nyingine za uchongaji na ukelezaji vyuma na uchomeaji.


Kwa mujibu wa Mapunda,ilipofika mwaka 2017 fani mbili mpya za umeme wa majumbani,ushonaji nguo na mapambo zilisajiriwa ili kupanua wigo zaidi kwa watoto wa kike kujiunga na chuo ili nao waweze kujitegemea mara watakapomaliza mafunzo yanayochukua miaka mitatu.


Kwa upande wake Katibu Mkuu wa pili wa Shirika la misaada la Makanisa ya Bibilia Duniani Klaus Brinkmann,amewataka Wanafunzi wa chuo hicho kutumia ujuzi na elimu wanayoipata kufikiria kwenda kujitegemea kwa kujiajiri badala ya kuwaza kuajiriwa Serikalini.

Katika risala ya wahitimu iliyosomwa na Selestine Kalo,wameshauri chuo kuleta vifaa vya kisasa kwa ajili ya kufundishia na kujifunzia kutokana na kukua kwa teknolojia hasa uwepo wa magari yanayotumia gesi.Zaidi ya wanafunzi 1000 wamehitimu mafunzo ya fani mbalimbali tangu chou hicho kilipoanzishwa mwaka 1974.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.