• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

VIJANA WAATHIRIKA WAKUU WA VVU

Imewekwa kuanzia tarehe: November 27th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amesema kutokana na takwimu zinazotolewa inaonekana kundi kubwa lililoathirika na maambukizi ya VVU ni la vijana.

Ameyasema hayo wakati akifunga mdahalo wa vijana na viongozi wa dini na kimila kuelekea maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo kitaifa itafanyika mkoani Ruvuma.

"Ni Imani yangu kila kijana ana ndoto na ili kufikia ndoto hiyo ni lazima kujiwekea malengo katika kufikia ndoto zako, ili kutokuwa na kikwazo katika ndoto yako ni muhimu kuijua hali yako ya kiafya," alisema Kanali Ahmed

Ameongeza kuwa wanapozungumzia vijana wanazungumzia  asilimia 68 ya nguvu kazi ya Taifa na dhahiri hakuna namna wanaweza kufanya shughuli za maendeleo pasipo kutambua nafasi ya vijana ndani ya jamii na kufahamu vipaumbele vyao ikiwemo afya nzuri.

Kanali Ahmed amebainisha kuwa vijana wote kote nchini wameshafahamu kuhusu VVU ingawa wapo vijana wachache wasiojua kwa kina na hawajui namna ya kujikinga hivyo anaamini Elimu ya kwenda kujikinga iliyotolewa kupitia kongamano hilo ni sahihi.

Naye katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Bi. Mary Makondo, amesema Elimu iliyotolewa kupitia viongozi wa dini na kimila ni ya muhimu kwa vijana katika kukabiliana na janga la UKIMWI.

Ameongeza kuwa adhma kubwa ya Serikali na wadau ni kuelekea mwaka 2030 bila ya kuwa na changamoto ya UKIMWI na inawezekana iwapo mafunzo yaliyotolewa yatatumika kujielimiaha na kuwaelimisha wengine.

Kutokana na takwimu zinazotolewa imeonekana kundi kubwa linaloathirika na lipo hatarini kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI  ni la vijana.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.