• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

VIONGOZI wa Dini Ruvuma wamlilia Rais Magufuli

Imewekwa kuanzia tarehe: March 19th, 2021

Kamati ya Amani Mkoa wa Ruvuma kwa kipindi hiki cha majonzi ya kuondokewa na Rais Magufuli wamewaasa wananchi  kuwa watulivu.

Akizungumza katika kikao cha  Kamati ya Amani cha viongozi wa Dini  Mkoa wa RuvumaMwenyekiti  Alhaji Shekhe  Shabani Mbaya  ametoa pole kwa Taifa la Tanzania na kwa mama Janeth Magufuli na familia pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

“Mzalendo namba moja ametutoka kipenzi cha watanzania tumepatwa na mshituko  mkubwa,tuna majonzi makubwa,kama viongozi wa dini tunamasikitiko makubwa sana ya kuondokewa na Jemedari wa Vita“.

Katibu wa Balaza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) Mchungaji Elimu Mwenzegule  amesema tutamkumbuka kwa mengi ambayo amefanya katika uhai  wake katika kutetea wanyonge na kutopenda mafisadi nchini na wahujumu uchumi.

Mwanzegule amesema Rais Magufuli alipenda nchi ya Tanzania na alihakikisha  inajengwa na watanzania wenyewe katika kipindi chote alicholichokuwa madarakani  alifanya kazi na watanzania hakupenda kutoka nje na alisema ni Rais wa watanzania na aliwatumikia kwa moyo.

“Tumepoteza kiongozi Jemedali na hodari Tunamuombea makamu wa Rais Mungu ampe uvumili  katika kusimamia Maombolezo haya na kumpumzisha Mpendwa wetu, amevipiga vita vilivyo vizuri mwendo ameumaliza,Imani ameilinda  Rais Magufuli katika nchi yetu na mwendo ameumaliza”.

Amesema anawatakia viongozi waendelee kuwa na mshikamano ili kuendeleza kazi nzuri  alizoacha Rais,watanzania tuendelee kuwa pamoja  tushikamane kwa utulivu katika wakati huu mgumu ambao tunapitia kwa tukio hili ambalo hatukulitalajia  tushikamane,tutiane moyo.

Naye Makamu mwenyekiti wa Amani  Mkoa wa Ruvuma  Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Ruvuma Amoal Mwenda kwa upekee wake  na kadri alivyozoeleka kwa kazi nzuri  Mungu alimpa vipawa vyake katika utendaji kazi na kutokuwa na ubaguzi kwa watu wote.

Amesema viongozi wa Dini Mkoa wa Ruvuma tunaungana pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kuwaomba wananchi wote kuwa watulivu huku tukishikamana na kuomboleza kwa umoja wetu.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa Habari  Halmashauri ya Madaba

Machi 19,2021.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.