• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WADAU walivyodhamiria kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani Namtumbo

Imewekwa kuanzia tarehe: April 20th, 2024

Kikao Cha wadau katika Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma kimeazimia kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani Wilayani humo kutokana na mfumo huo kuonesha mafanikio makubwa kwa wakulima.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Viongozi wa vyama vya msingi 47 katika Wilaya ya Namtumbo , viongozi wa vikundi vya wakulima ,wanunuzi wa mazao ,viongozi wa wafanyabiashara ,kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ya Namtumbo ,wakuu wa idara , Taasisi za kibenki Pamoja na wamiliki wa maghala.

Akitoa taarifa ya uendeshaji mfumo wa stakabadhi ghalani Kwa msimu uliopita wa mwaka 2022/2023 Afisa Kilimo,Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Paul Ambokile amesema mauzo kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani umewanufaisha wakulima Kwa kiasi kikubwa.

Mwenyekiti wa Chama Cha Msingi Namtumbo Asedi Kaporo amesema kuwa mfumo  wa stakabadhi ni mzuri kwa kuwa wakulima wanauza mazao yao kwa bei kubwa tofauti na soko holela ambalo limekuwa linawanyonya wakulima.

Diwani wa Kata ya Mkongo Mheshimiwa Daniel Nyambo amesema mfumo wa stakabadhi ghalani unawanufaisha wakulima ambapo ametoa rai kwa wadau hao kuwadhibiti  wafanyabiashara ambao hukopesha wakulima fedha ndogo na hulipwa ufuta mwingi na wao kuuza katika mfumo wa stakabadhi ya ghala na kujipatia pesa nyingi.

Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Ngollo Malenya amesema mfumo wa stakabadhi ghalani umewawezesha wakulima wa Wilaya ya Namtumbo kupata bei nzuri Kwa mazao ya ufuta,mbaazi na soya Pamoja na kuwa na uhakika wa soko.

Amewaagiza viongozi wa vyama vya msingi kuhakikisha wanasimamia mfumo Kwa uadilifu mkubwa na kusisitiza kuwa  serikali itaendelea kusimamia haki na maslahi ya wakulima .

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Philemon Magesa amewataka wadau kushirikiana katika kuhakikisha mfumo wa stakabadhi ghalani una wanufaisha wananchi wa Namtumbo.

Magesa amedai kuwepo Kwa wafanyabiashara wanaonunua ufuta Kwa wakulima na wafanyabiashara wanaokopesha fedha Kwa wakulima Kwa fedha ndogo na wakati wa masoko Kwa mfumo wa stakabadhi ghalani unapoanza wafanyabiashara hao hupeleka ufuta na kulipwa fedha nyingi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.