• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAENDESHA pikipiki Songea watakiwa kuzingatia sheria

Imewekwa kuanzia tarehe: July 17th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mheshimiwa Kapenjama Ndile amewataka Waendesha Bodaboda na Bajaji kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepusha ajali.

Ndile amesema hayo kwenye kikao maalum kilichowakutanisha madereva wa pikipiki miguu miwili (bodaboda) na pikipiki miguu mitatu (bajaji) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Mkuu wa Wilaya Songea amewashauri madereva hao kuunda umoja wao ili kuwezesha kuwa na Sauti moja wanapokuwa changamoto mbalimbali na kuzifikisha kwa viongozi ili kutafutiwa ufumbuzi.

“Lengo la la kikao hiki ni  kusikiliza kero zenu, mnapokuwa na uongozi imara mtaweza kupeleka changamoto zenu kwenye Mamlaka husika kwa kufuata utaratibu unaokubalika ambao pia utawezesha kupata fursa mbalimbali ikiwemo  kupata mikopo, kupata mafunzo ya udereva kupitia VETA na kujenga mahusiano bora baina yao na Serikal”.alisisitiza Ndile.

Amewataka madereva hao kufuata sheria bila Shuruti ikiwemo  kulipa leseni ya Udereva na Leseni ya Chombo chenyewe huku akitoa rai ya kuweka utaratibu wa kukutana mara kwa mara na madereva hao ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili.

Kwa Upande wake Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Songea ASP Muya Zuberi Maunganya amewataka Waendesha Bajaji na Bodaboda kuzingatia Maegesho rasmi yaliyoruhusiwa na Mamlaka husika.

Nao Waendesha Bodaboda na Bajaji wameishukuru Serikali kwa kuitisha kikao hicho ambacho kimekuwa ni sehemu ya kutoa kero zao na kusikilizwa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.