• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAFANYABIASHARA Songea wafurahia elimu ya kutambua bidhaa bandia

Imewekwa kuanzia tarehe: February 1st, 2024

Tume ya Ushindani (FCC) Nyanda za Juu Kusini  imefanya semina ya kutoa  elimu  ya kutambua bidhaa bandia,bidhaa halisi, ushindani wa masoko na kumlinda mlaji  kwa Umoja wa Wafanyabiashara wa soko kuu Manispaa ya Songea   mkoani Ruvuma.

Elimu hiyo imetolewa na  Mkuu wa Kanda Ofisi ya Tume ya Ushindani (FCC) Nyanda za Juu Kusini Dickson Mbanga.

Mbanga amelitaja lengo la elimu hiyo ni kusimamia ushindani kwa wafanyabiashara wenye uchumi mdogo, kudhibiti bidhaa bandia na kuwatetea watumiaji ili kumwezesha Mfanyabiashara na mwananchi aweze kusitawi katika hali nzuri.

“Bidhaa bandia ni bidhaa ambayo hutumia nembo ya bidhaa nyingine bila ridhaa ya mzalishaji wa bidhaa halisi” amesema  Mbanga.

Ameyataja mambo yanayozorotesha ushindani wa kibiashara ni kufanya mikataba isiyo rasmi kama kufunga maduka na kupandisha bei kiholela.

Kwa upande wake Mdhibiti Bidhaa Bandia kutoka  Tume ya Ushindani Nyanda za Juu Kusini Anderson Rwiza  amezitaja sifa tatu za kutambua bidhaa bandia kuwa ni bidhaa lazima iwe na jina la bidhaa,nembo na mtengenezaji.

Naye Afisa Biashara Mkoa wa Ruvuma Martin Kabalo amewaomba wafanyabiashara waanze  taratibu  kutambua bidhaa bandia ili kumlinda mlaji na kuepuka madhara mbalimbali ya kiafya kwa wananchi.

Mwenyekiti wa Masoko ya Manispaa ya Songea Nico Charles amewashauri wafanyabiashara kutumia bidhaa halisi ili kuwaepusha wateja wao na  magonjwa mbalimbali kama saratani matatizo ya figo na moyo.

Mfanyabiashara wa soko kuu Raphael Mbilinyi ameishukuru Serikali kwa  kuwawezesha Tume ya Ushindani ili iweze kuwaelimisha kuhusu bidhaa bandia na halisi katika ushindani wa masoko.

Mfanyabiashara wa Soko kuu Jenipha Lucas amesema kutokana na elimu aliyopata hatauza tena bidhaa bandia ili kuepusha madhara kwa walaji.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.