• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAHITIMU wa Chuo Kikuu wajifunza uwekezaji kwenye kilimo Madaba

Imewekwa kuanzia tarehe: September 23rd, 2023

WAHITIMU wa Chuo Kikuu cha SAUT tawi la Songea waliohitimu Mwaka 2016 hadi 2018 katika fani tofauti wametembelea eneo la Uwekezaji la Silver Land Ndolela Katika Halmashauri ya Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma.

Wahitimu hao walitembelea shamba hilo wakiwa wameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Kapenjama  Ndile na Mkuu wa Idara ya Kilimo,Ufugaji na Uvuvi  Halmashauri ya Madaba Joseph Mrimi.

Moja kati ya wahitimu hao Ernest Anord amesema wemepewa fursa ya kufika kujifunza katika eneo la uwekezaji wa mbegu za mazao mbalimbali.

Amesema wameona eneo la uwekezaji kupitia teknolojia ya umwagiliaji lenye ukubwa wa hekta 500 linalowekezwa katika mbegu za viazi mviringo, Alizeti na Maharage aina 72 za Mbegu ya ngano.

Meneja wa Kampuni hiyo ya Silver Land Ndolela Christian Kihindo amesema Kampuni hiyo kwa mara ya kwanza walianza kulima Mahindi ya chakula,ngano pamoja na Soya katika msimu wa Mwaka 2016/2017.

Kihindo amesema kwa sasa wawekezaji hao Mbegu  wanauza  ,mbegu katika kampuni za Tanzania na nchi ya Italia.

Amesema wawekezaji hao wanalima mara mbili kwa mwaka kwa umwagiliaji kupitia umeme wao uliotegwa kupitia maporomoko ya Mto Ruhuhu

Kampuni ya Silver Land Ndolela ina wafanyakazi 150 wenye ajira ya kudumu na ajira ya muda mfupi ni zaidi ya 600.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.