• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula wawafunda wakulima Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: April 21st, 2024

WAKULIMA wa mahindi mkoani Ruvuma,wamekumbushwa umuhimu wa kufuatilia maendeleo ya mazao yao mashambani na kuhakikisha wanavuna mazao yaliyokomaa ili  kupata soko la uhakika.

Wito huo umetolewa  na Meneja wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) Kanda ya Songea Zenobius Kahere, wakati akizungumzia maandalizi ya ununuzi wa mahindi katika msimu wa kilimo 2024/2025 ofisini kwake mjini Songea.

Amesema,hatua hiyo itawezesha NFRA kupata nafaka bora kwa ajili ya akiba ya chakula kwa wananchi watakaopatwa na upungufu wa chakula katika maeneo yao.

Kwa mujibu wa Meneja huyo,katika msimu wa mwaka huu NFRA itanunua mahindi kwa kuwahusisha wakulima wakubwa,wafanya biashara wakubwa na wakulima wadogo.

Amebainisha kuwa,wakulima wakubwa waliokusudiwa katika mpango huo ni wakulima wanaoanza na hekari 100 na wenye uwezo wa kuuza tani 200 na kuendelea.

“Kwa upande wa wafanya biashara ni wale wenye uwezo wa kununua mahindi kutoka kwa wakulima kuanzia tani 2,000 hadi 5,000”.

Amevitaja,vigezo vilivyowekwa kwa wakulima wakubwa watakaotaka kuuza mahindi kwa Serikali kuwa ni lazima atoke kwenye Halmashauri anayofanyia shughuli zake za kilimo ili NFRA iweze kumpa mkataba wa kuuza mazao yake kama mkulima na siyo vinginevyo.

Hata hivyo amesema,wafanyabiashara wakubwa watalazimika kuwa na barua ya utambulisho kutoka kwa Halmashauri ya wilaya wanakofanyia biashara zao ili muda utakapofika wa kuanza kununu nafaka iwe rahisi kwa NFRA kuweka usimamizi mzuri wa upatikanaji wa nafaka hiyo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.