• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKANDARASI Tunduru waaswa kujenga miradi yenye viwango

Imewekwa kuanzia tarehe: August 22nd, 2024

MKUU wa wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma Simon Chacha,amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya barabara wilayani humo kuzitendea haki fedha zinazotolewa na Serikali kwa kujenga miradi yenye viwango itakayosukuma na kuharakisha shughuli za maendeleokwa wananchi na Taifa kwa ujumla.
Chacha amesema hayo,wakati akizungumza na watumishi wa TARURA na wakandarasi waliopata kazi za ujenzi wa miradi ya barabara zinazosimamiwa na wakala wa barabara za mijini na vijijini(TARURA)wilayani humo.
Chacha,amewaeleza wakandarasi hao kutekeleza kazi zilizoko kwenye mikataba waliyoingia na Serikali kupitia Tarura,kuwa wazalendo kwa nchi yao na kujenga miradi yenye viwango ambayo itachochea na kuharakikisha kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja,wilaya na Taifa.

“Nendeni mkapige kambi kwenye maeneo ya miradi ili mpate muda mwingi utakaowawezesha kukamilisha kazi mlizopewa kwa wakati, wananchi wana matarajio makubwa na nyinyi, epukeni kuwa na visingizio vinavyoweza kuchelewesha ujenzi wa miradi”alisema Chacha.


Meneja wa TARURA wilaya ya Tunduru Silvanus Ngonyani amesema,kwa mwaka wa fedha 2024/2025 TARURA Wilaya ya Tunduru,imeidhinishiwa Sh.bilioni 4,110,783,784.47 kutoka kwenye vyanzo mbalimbali vya fedha.
Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya kupambana na Kuzuia Rushwa(TAKUKU)Wilayani humo George Njoholo, amewataka wakandarasi kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa kwa viwango ili iendane na gharama halisi ya fedha zilizotolewa na Serikali.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.