• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKULIMA na Wafugaji Ruvuma wajengewa uelewa wa Bima

Imewekwa kuanzia tarehe: April 28th, 2022

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania wametoa mafunzo ya Bima kwa Vikundi vya  wakulima na Wafugaji wa Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza katika uzinduzi wa Mafunzo hayo Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Jeremia Sendoro amesema mafunzo hayo yameletwa Mkoa wa Ruvuma kwasababu ni Mkoa wa kilimo  na ufugaji wa Samaki kwa Wingi.

 wameona umuhimu wa kutoa Elimu na kuwajengea uelewa.

“Bima ya kilimo na Ufugaji  inatusaidia pale tunapopata hasara  katika Mazao yanapokuwa Shambani, kama utatokea ukame au mvua za mawe pamoja na mifugo kufa kwa magonjwa au wanapokuwa marishoni Bima inatoa fidia ”.

Sendoro ametoa rai kwa Wakulima na Wafungaji kufuatia mafunzo hayo kufuata yale waliyopata kutoka kwa wataalamu na kuyafanyia kazi  pamoja na kuwa  na kilimo chenye tija  na kuwa mabalozi kwa wengine ili kuepuka hasara katika kilimo na Ufugaji.

“kuna wenzetu wa Bodi ya Kilimo,Nafaka na Mazoa mchanganyiko Soya na mazao mengine  katika mikataba yao walitaka Bima ya Kilimo utekelezaji ulikuwa mgumu kwasababu ya kukosa Bima”.

Hata hivyo amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania wemekuja wakati mzuri wa mavuno  ikiwemo Soya, Maharage ,Mahindi  na Octoba ni mwezi wa mavuno ya Korosho  pamoja na Novemba kuandaa Mashamba hivyo mafunzo hayo yametolewa wakati sahihi na kwawatakaopenda kilimo cha Mkataba na Pamoja wataalamu watasimamia kilimo hicho.

Meneja wa Mamlaka ya  Usimamizi wa Bima (TIRA) Kanda ya Nyanda za Kusini Salum Yungwa  amesema lengo la Mafunzo hayo Mkoani Ruvuma kutoa Elimu ya Bima ya Kilimo kwa wakulima ambao wanaoathirika na majanga mbalimbali yanayoweza kutokea wakati mazao yakiwa Shambani,Njiani au Kwenye ghara.

Yugwa amesema wametoa Semina kwa wakulima na wafugaji mara baada ya kuona   Mkoa wa Ruvuma ni moja kati ya Mikoa iliyojikita katika uzalishaji wa Kilimo na Ufugaji kwa wingi.

“Leo tumetoa uelewa kwa Wanaruvuma ili waelewe Umuhimu wa Bima na kujikinga na majanga ambayo yanaweza kujitokeza  na fidia itapatikana na kutopata hasara ”.

Amesema kupitia Mafunzo hayo yaliyotolewa Wakulima na wafugaji wamepata Hamasa na wapo tayari kutumia Bima katika Kilimo na Ufugaji kwa kuepuka kupata hasara zitakazojitokeza  mara kwa mara.

Moja kati ya Washiriki wa Mafunzo hayo Heriety Komba amesema kuna baadhi ya wakulima bado hawakujua umuhimu wa Bima na mara kwa mara wamepata majanga katika Kilimo na Ufugaji hivyo kupitia Semina hiyo wamepata uelewa na watafanyia kazi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde na Jackson Mbano

Kutoka Kitengo cha Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

April 28,2022

 

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.