• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKULIMA Ruvuma wanavyonufaika na mfumo wa stakabadhi ghalani

Imewekwa kuanzia tarehe: February 16th, 2024


WADAU wa maendeleo katika Halmashauri  ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma wamewataka viongozi kuimarisha mfumo wa stakabadhi ghalani ambao umeonesha mafanikio makubwa kwa  wakulima.

Ally Lyuma Mkazi wa  Namtumbo  amesema ipo haja ya uongozi wa Halmashauri  ya Namtumbo kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani Kwa kuwa mfumo huo una manufaa Kwa wakulima wa kipato Cha chini.

Meneja  wa  Chama Cha Msingi (AMCOS) Naikesi  Lukas Sesilius amesema   wakulima wa AMCOS hiyo wanaishukuru serikali Kwa kuanzisha mfumo wa stakabadhi ghalani Kwa kuwa wakulima wana uhakika wa soko la mazao yao.

 Diwani wa  Kata ya Likuyu Mheshimiwa Kassim Gunda amewataja wanaolalamikia mfumo wa stakabadhi ghalani kuwa haufai sio wakulima ni madalali ambao waliozoea Kununua mazao Kwa wakulima kwa bei ya chini na kwenda kuuza kwa bei ya  juu.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Juma Pandu amewashauri   wataalamu wa kilimo kuimarisha zaidi mfumo wa stakabadhi ya ghala Kwa kuwa una ndiyo mkombozi wa wakulima .

.Takwimu za uuzaji mazao ya wakulima kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani mkoani Ruvuma  kwa kipindi cha mwaka 2023/2024 zinaonesha wakulima waliingiza mabilioni ya fedha.

Kulingana na takwimu hizo katika zao la mbaazi wakulima waliingiza zaidi ya bilioni 18 baada ya kuuza kilo 9,298,347 za mbaazi na zao la ufuta liliwaingizia zaidi ya bilioni 31 baada ya kuuza kilo 8,621,162.

Kwa mujibu wa takwimu hizo zao la korosho liliwaingizia zaidi ya bilioni 40 baada ya kuuza kilo 26,062,323 na zao la soya liliwaingizia zaidi ya bilioni nne baada ya kuuza kilo 5,023,309.



Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.