• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKULIMA Tunduru wanavyoendelea kuneemeka na zao la mbaazi kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani

Imewekwa kuanzia tarehe: September 5th, 2023

Wakulima wa Mbaazi Halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wameingiza katika mzunguko zaidi ya bilioni 3.7 katika  zao la Mbaazi kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani

Mnada wa tatu wa uuzaji wa Mbaazi uliofanyika kijiji cha Angalia Kata ya Mtina,katika ofisi za Chama cha Ushirika cha Mshikamano ulikuwa na mafanikio makubwa. Jumla ya tani 1928 za Mbaazi ziliuzwa katika mnada huo, ambazo ni sawa na kilo milioni 1.9.

Idadi ya wanunuzi katika mnada huo ilikuwa 20, hata hivyo ni wanunuzi 6 tu ndio ambao walikaribia bei iliyotarajiwa na wakulima. bei ya juu ilikuwa shilingi 1,950 na kufanya bei wastani kuwa shilingi 1,946. Wakulima walikubali kuuza Mbaazi  kwa bei ya wastani ya shilingi 1,948. Hii inaonyesha kuwa uuzaji ulikuwa na ushindani mkubwa kati ya wanunuzi.

Aidha Mlajisi Msaidizi vyama vya Ushirika mkoa wa Ruvuma Bi. Peja muhoja amewasisitiza wakulima wa mazao yote ya biashara kuacha kuuza mazao yao kwa mtu kati (mlanguzi), na kuwataka kutumia mfumo wa Stakabadhi ghalani wenye manufaa makubwa kwa mkulima.

"Zao la Mbaazi limekuja na bei nzuri ,wakulima wakaongeze juhudi shambani, mashamba mapya na wayapande katika utaratibu wa kuzingatia kanuni bora za kilimo, vile vile fedha wanazozipata wakazitumie vyema kwa maendeleo yao Binafsi”. Alisema.

Pia kwa upande wake mwenyekiti wa Chama kikuu cha Ushirika Tunduru Ndg. Mussa Manjaule amewasisitiza wakulima kuzidi kutanua na kuwekeza zaidi katika kilimo ,pia amewasisitiza wakulima kulima mazao mbalimbali mbadala ya chakula,kutokujikita kwenye zao la aina moja tu.

Zao la Mbaazi limepanda thamani katika soko ukilinganisha na kipindi cha nyuma, ambapo lilikua likionekana kama zao la chakula pekee,lakini kwa sasa limeingia katika mkakati wa kibiashara kwa kuuzwa zaidi ya shilingi 1,500. Bei hii inaweza kuwa chanzo cha kuridhika kwa wakulima na inaweza kuwachochea kuendelea kulima Mbaazi kwa wingi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.