• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKULIMA wa kahawa Mbinga wazalisha tani 20,000 za kahawa

Imewekwa kuanzia tarehe: April 6th, 2024

WAKULIMA wa kahawa wanaohudumiwa na Chama kikuu cha Ushirika wilaya ya Mbinga (MBIFACU),katika kipindi cha miaka mitatu wamefanikiwa kuongeza uzalishaji wa zao hilo kutoka tani 12,000 msimu wa kilimo 2020/ 2021 hadi tani 20,000 katika msimu wa kilimo 2023/2024.


Kaimu Meneja wa MBIFACU Faraja Komba amesema, ongezeko la uzalishaji limetokana na mikakati ya Serikali ya awamu ya sita ya kuwainua wakulima.


Amesema,mpango wa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kutoa pembejeo za ruzuku kwa wakulima umehamasisha na kuwavutia watu wengi kujikita kwenye kilimo cha zao la kahawa.


Komba amesema,katika kipindi cha miaka mitatu wakulima wameongeza takribani tani 8 sawa na kilo milioni 8 ambazo ni mafanikio makubwa katika sekta ya ushirika na wakulima wa kahawa kwa ujumla.


Amesema,kuanzia mwaka 2021 hadi 2024 wametoa mikopo ya mbolea yenye thamani ya Sh.bilioni 11 kwa wakulima wanaojihusisha na kilimo cha kahawa na serikali imeunga mkono kwa kutoa Sh.bilioni 10.6. zilizokwenda kwa wakulima kupitia vyama vya msingi vya ushirika (AMCOS).


Komba ameishukuru serikali kuboresha masoko ya kahawa,kwani sasa wakulima wanatumia masoko matatu(soko la awali,soko la mnadani na soko la mauzo ya moja ambayo yamesaidia kurahisisha mauzo ya kahawa na wakulima kupata fedha zao kwa wakati.


Hata hivyo, ameiomba serikali kupitia wizara ya kilimo na ushirika kuwaangalia kwa jicho la huruma wakulima wa kahawa kwa kuendelea kuwapa mikopo na pembejeo za ruzuku ili waweze kuendelea kuzalisha kahawa kwa wingi.

Amesema,serikali ikiendelea kutoa pembejeo hasa mbolea za ruzuku,uzalishaji wa kahawa katika wilaya ya Mbinga utaongezeka kutoka tani 20,000 na kufikia malengo ya kuzalisha tani 35,000 ifikapo mwaka 2030.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE Kawawa aleta neema Namtumbo

    May 11, 2025
  • KIONGOZI Mwenge wa uhuru ashiriki upandaji miti Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru waweka jiwe la msingi shule ya amali Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.